JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka 😂😂😂😂 Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani Sikiliza matumizi ya dola 1
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Kiungo gani cha mwili kinakupa sana pesa?
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Namtafta sana huyu jamaaa lastseen yake ni December Kama una ID nyingine nitafute broo Pia kuna mtu anaitwa Captain chui mchafu (telegram) Wagadawagada (telegram) Mmoja wapo akiona huu uzi...
2 Reactions
0 Replies
300 Views
Hii imekaaje wanazengwe Yaani nikiona mzigo wenye makalio makubwa akili aifanyi kazi vizuri. Sina uhakika kama ubongo wangu uko-wired vizuri, inawezekana makalio makubwa yanasababisha shoti...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Ulishawahi kupita maeneo au umekaa sehemu ukaona kitu kizuri kinauzwa ukawaza kumnunulia mtu kama zawadi ukaghairi au ukakosa mtu wa kumnunulia. Mie imewahi nikaamua tu kuacha kwakuwa mtu...
0 Reactions
2 Replies
438 Views
Nikiwa mtoto bhana, Nilikuwa napenda sana michezo, moja ya mchezo ni Kuendesha lingi, Kuwinda ndege kwa manati. Kuna ile Unatengeneza gari la mbao na mipira inakuwa kama spring na unaweka kamba...
0 Reactions
35 Replies
1K Views
Habari zenu bas bwana miaka ya nyuma nirikua nikienda posta kufata vipaseli vya kununua au mzgo kira mtu nirikutana nae nirijuwa ni mwanaJamiiForums. Yaan kira niromuona ofsi za posta nirijua ni...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Ukifanya jambo jema likaambatana na mvua ujue hiyo ni Baraka, Mungu wa Mbinguni amesikia Maombi Ila Nina uhakika Akina Mwijaku na Kitenge wasingevumilia kunyeshewa 😂😂 Good morning!
4 Reactions
12 Replies
638 Views
Hapa siongei sana, picha inajieleza, hujaelewa uliza.
4 Reactions
5 Replies
574 Views
Mmeshindaje ndugu zangu. Ikitokea ukaambiwa uchague sehemu moja ya kuishi kati ya Tandale na Manzese ni wapi utapokuwa tayari kwenda kuishi? Na kwanini? Pia ningependa mtu au watu waeleze...
1 Reactions
59 Replies
10K Views
Habari wanaJf wote, Story hii inahusu safari yangu kutokea Zanzibar kurudi Moshi, Kilimanjaro. Ee bana dah nakumbuka ilikuwa ni sa 12 asubuhi kunduchi kwa mwenyeji wangu nikapewa chai ya maziwa...
0 Reactions
3 Replies
466 Views
Korogwe ni Wilaya mojawapo ndano ya Mkoa wa Tanga. Zingine ni Handeni , Lushoto , Pangani , Muheza , Kilindi , Mkinga na Tanga yenyewe Ni Wilaya ambao ni kama Centre ya kila mahali kwa mikoa ya...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Mtoto anasema katumwa kuja kucheza. Nyumba aliyotumwa hakuna watoto ni watu age go. Namuuliza anasema mama yake kamtuma aje kucheza. Nikauliza baba yupo? Kakajibu ndio. Je niliyoyawaza mimi Babu...
2 Reactions
12 Replies
693 Views
NB: Mada hii naileta kwenu baada kupata inspiration kupitia thread ya donlucchese Umeshawahi kupiga one katika levo yoyote ya elimu hapa nchini? Tukutane hapa.....!!! Sijawahi kupata division one...
3 Reactions
40 Replies
5K Views
Stay away from older women Stay away from older women If i stay away from older women can't feel ok, the older the tighter,,,the tighter the sweeter......
1 Reactions
11 Replies
731 Views
Natumaini wote nyie ni wazima, Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa Nilipanga niende Zanzibar ila hii...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Ni kauli gani ulikuwa ukiisikia MAMA yako kaisema Unajua tu kabisa....hapa kipigo hakiepukiki ?
1 Reactions
9 Replies
501 Views
Tokea juzi Ijumaa Jioni hadi Alfajiri hii ya leo ID yangu hii ya GENTAMYCINE ilikuwa Imedukuliwa na Wahuni hivyo kama kuna Maudhui yoyote yaliandikwa tokea hiyo juzi hadi jana jua si yangu bali ni...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Sababu.. .. 1. Mwarabu jana Kanikosesha Tsh Milioni 62 ili GENTAMYCINE niuage rasmi Umasikini wangu Ulionitukuka kwa muda mrefu. 2. Nalazimika kuwakwepa Watu Mtaani, kutopokea Simu zao na...
4 Reactions
4 Replies
365 Views
Back
Top Bottom