JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nani anafurahia mvua ya leo Dar?!I'm NOT!! Yani hali ya hewa inakua nzuri maana joto linapungua sema natamani ingenyesha siku ambayo sina mizunguko nitulie zangu ndani.Au ingenyesha kidogo tu...
4 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari. Imani Yangu Wote Mnaendelea Vyema Na Majukumu Ya Kila Siku. Turudi Kwenye Mada Hapo Juu Kuhusu Lifestyle Ya Mwanamke Ndio Itaamua Mwanamke Kuolewa Au Kutokuolewa. Wanawake Wengi...
16 Reactions
48 Replies
2K Views
Wakuu kama kichwa kinavosema, Preferred brands ni Samsung na Xiaomi
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi?
22 Reactions
355 Replies
13K Views
Mimi naacha siti kwa Uzito
2 Reactions
2 Replies
467 Views
Kama umelelewa na ndugu, watu baki, au na mama pekee au baba pekee kutokana na kufiwa na mama, au baba ama wazazi wote. Tuwakumbuke na kuwaombea waendelee kulala mahali pema peponi. Nasi tutafuata...
25 Reactions
201 Replies
8K Views
hebu tujikumbushe vitabu vya fasihi ambavyo tumesoma o'level na Mhusika Gan ulikuwa unampenda zaidi.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
πŸ€πŸ™πŸ™....kosa linalorudiwa zaidi ya mara moja ni uamuzi. Kosa linalorudiwa zaidi ya mara mbili ni tabia. Kosa linalorudiwa mara tatu zaidi ni tabian
3 Reactions
7 Replies
532 Views
Wadau hamjamboni nyote? Lengo la Uzi huu ni kutoa fursa ya kufahamiana kwa urahisi sisi tuliotoka mikoani na sasa tunaishi Dar es salaam Hatukusudii kujadili uzuri au ubaya ya Kabila fulani hapa...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Meza niliyoagiza Meza iliyoletwa
20 Reactions
34 Replies
2K Views
Italian Relationship: 1st day= Sex 2nd day= Sex again. French Relationship: 1st day = movies & kiss 2nd day = Sex 3rd day = Sex again British Relationship: 1st day= hangout & kiss 2nd day =...
7 Reactions
11 Replies
922 Views
Mtumishi wa Mungu Dada na Mama yetu Sr. Suzan Barthlomeo amefariki dunia kwa tukio linaloaminika kujirusha toka Ghorofani baada ya Misa za Asubuhi! Kikatoliki si Halali kwa Marehemu kufanyiwa...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
1. Hujawahi kunywa pombe 2. You've never watched porn 3. You've never cheated on your patner 4. You've never fought with someone since you were born 5. Kukaa siku nzima bila kula
13 Reactions
80 Replies
3K Views
Kuna huyu dada anaitwa witnessj muda mrefu umepita sijamsoma humu jukwaani. Witness popote ulipo nakusalimia. Xxx
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Watu wa hulka hiyi sijui wana matatizo gani? Yaani ni wa bishi mno nakumbuka nilikuwaga na ex wangu mmoja hivi mkianza kukaa kubishana hata umueleweshe vipi kukuelewa ni ngumu. Basi kuna siku...
2 Reactions
6 Replies
833 Views
Chumba cha mtihani ni mahala ambapo pameja vihoja vingi sana hasa kwa level kuanzia Darasa la 4 hadi elimu ya juu hata Masters! Katika uzi huu naomba tukumbushane vihoja ambavyo tumekutana navyo...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Hahahahahaha awali ya yote nianze kwanza Kwa kucheka kuashiria Kwa sasa niko na furaha muda wote baada ya kufanikisha mambo niliyoyawish kama ifuatavyo. 1. FLOW YA HELA Ni muda mrefu sasa akaunti...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Enzi hizo ukienda Rungwe Oceanic Beach Resort ya Mzee Mwakitwange ulikuwa unakuitana na majina kama vile DJ Ngomely, DJ Pop Juice na wengine. Ukiosea jirani na hapo Rungwe, yaani Silver Sands...
10 Reactions
122 Replies
16K Views
Anaejuwa bei ya chumba ya hiyo hotel plz inform me
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…