Nani anafurahia mvua ya leo Dar?!I'm NOT!!
Yani hali ya hewa inakua nzuri maana joto linapungua sema natamani ingenyesha siku ambayo sina mizunguko nitulie zangu ndani.Au ingenyesha kidogo tu kama jana....
Hizi data za mvua unastua watu !Nani anafurahia mvua ya leo Dar?!I'm NOT!!
Yani hali ya hewa inakua nzuri maana joto linapungua sema natamani ingenyesha siku ambayo sina mizunguko nitulie zangu ndani.Au ingenyesha kidogo tu kama jana....
mmmh:smash:
Kwa sisi wauza maji ya baresa huku kwnye mafoleni hichi kimvua kinatuboa kinoumer.
MP.
Mi binafsi naenjoy leo maana jiji lilishanichosha na joto hadi nkapamiss arachuga....I'm now happyNani anafurahia mvua ya leo Dar?!I'm NOT!!
Yani hali ya hewa inakua nzuri maana joto linapungua sema natamani ingenyesha siku ambayo sina mizunguko nitulie zangu ndani.Au ingenyesha kidogo tu kama jana....
Asifiaye Mvua?
Kwani bd tu hujaenda....watu tuko majumbaniaise acheni inyeshe bana...
maana sim ninazopigiwa leo...
zinaashiria kua nahitajika sana leo!!