Vihoja Chumba cha mtihani

Twilumba

JF-Expert Member
Dec 5, 2010
11,555
12,427
Chumba cha mtihani ni mahala ambapo pameja vihoja vingi sana hasa kwa level kuanzia Darasa la 4 hadi elimu ya juu hata Masters!

Katika uzi huu naomba tukumbushane vihoja ambavyo tumekutana navyo kwenye chumba cha mtihani.

Mimi nakumbuka tukiwa undergaruate mama mmoja aliambiwa anyanyuke lile dawati alilokaa, sasa ile ananyanyuka ananyanyuka na dawati lake, msimamizi anamwqmbia aache dawati pale akagoma kuwa hawezi kutumia dawati lingine.

Kuna ingine Sister Du mmoja akahisiwa anapiga chabo kwenye kidesa fulani anacho, ile invigilator anamfuata akamuuliza hicho nn ulichoshika yule sister akanyooshq kidole kama anamwoneshq msimamizi kitu kwenye ceiling board ile jamaa anaangalia tu dada kakitumipi kidesa mdomoni fasta kameza.

Nyingine mwanangu mmoja anaona msimamizi anakaa sana karb yake akaanza kupenga Kamasi kila dakika kumkera invigilator!

Tupia kihoja chako cha chumba cha mtihani!
 
Tukimaliza hivyo vioja vya chumba cha mtihani tuhamie kwenye vioja vya assessment za field.

Jamaa alidata akafuta jasho usoni kwa duster, akageuka kama zombie. Halafu aliekuwa anamuassess ni dada fulani pisi. Acha wanafunzi wapasuke mbavu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nipo mwaka wa mwisho alafu course work haisomi,hiyo ni baada ya test ya kwanza kupata 1 ya 20, na natakiwa nipate 16 ili niingie UE, hapo nimebakisha marks 15 kati marks 20 zilizobaki kwenye test 2,
Naingia test ya 2,nikasema leo ama zangu ama za paper,nikapiga paper matokeo yanatoka nimepata 14 jumla ya c.w 15,tupo kama 50 hivi ambao ni below course work,daah
Tumekaa tujadili tufanyaje,mana lecturer mwenyewe hataki hata kusikiliza la mpiga azana wala mteka maji,wote tucarry course
Tukajikusanya tukawapanga wadada twende lakini tukifika walie kweli kweli mana machozi yao yapo karibu tuombe maker up test, tumefika pale walilia hatari hadi chuo kizima ikawa gumzo ila lecturer akagoma,ila akasema kila mmoja alete test tupitie kama kuna wrong mark,

Tukaanza na sisi wa marks 15,nimebeba test zangu zote na kupitia maswali yote na majibu yote na concepts zote,ila mwisho wa siku 0.5 mark ndio iliongezeeka,nadaiwa 0.5,namwambia kadiria 15.5 hadi 16 marks kagoma anasema 0.5 yeye anaitoa wapi,wakt ilitakiwa itoke kwangu,

Naendelea........
 
Nipo mwaka wa mwisho alafu course work haisomi,hiyo ni baada ya test ya kwanza kupata 1 ya 20, na natakiwa nipate 16 ili niingie UE, hapo nimebakisha marks 15 kati marks 20 zilizobaki kwenye test 2,
Naingia test ya 2,nikasema leo ama zangu ama za paper,nikapiga paper matokeo yanatoka nimepata 14 jumla ya c.w 15,tupo kama 50 hivi ambao ni below course work,daah
Tumekaa tujadili tufanyaje,mana lecturer mwenyewe hataki hata kusikiliza la mpiga azana wala mteka maji,wote tucarry course
Tukajikusanya tukawapanga wadada twende lakini tukifika walie kweli kweli mana machozi yao yapo karibu tuombe maker up test, tumefika pale walilia hatari hadi chuo kizima ikawa gumzo ila lecturer akagoma,ila akasema kila mmoja alete test tupitie kama kuna wrong mark,

Tukaanza na sisi wa marks 15,nimebeba test zangu zote na kupitia maswali yote na majibu yote na concepts zote,ila mwisho wa siku 0.5 mark ndio iliongezeeka,nadaiwa 0.5,namwambia kadiria 15.5 hadi 16 marks kagoma anasema 0.5 yeye anaitoa wapi,wakt ilitakiwa itoke kwangu,

Naendelea........
Lecturers wanakuwaga kama wakaanga sumu!!!
 
Kwenye necta form four nilipiga paper la mathe masaa mawili huku kijasho chembamba kikinitoka.Ilikuwa hivi baada ya kupewa pepa na kuruhusiwa kuanza mimi nikajifanya mjuaji nikaanza na maswali ya section B nikapiga swali la linear programming sasa wakati nakuja kuchora graph nakuta ipo nje kabisa duu,nikaamua kukata swali nikahamia la statistics lile la kujaza table kwa kukata vinamba sasa baada ya kumaliza kujaza table kila nikijumlisha idadi ya kwenye table haifanani na ile orodha kamili niliyopewa.Katika kuhangaika nakuta msimamizi anatangaza mmetumi saa moja tayr na mm ndo ninampango nikate na hili swali nianze tu section A.Nilinyanyasika sana ile day.
 
Kwenye necta form four nilipiga paper la mathe masaa mawili huku kijasho chembamba kikinitoka.Ilikuwa hivi baada ya kupewa pepa na kuruhusiwa kuanza mimi nikajifanya mjuaji nikaanza na maswali ya section B nikapiga swali la linear programming sasa wakati nakuja kuchora graph nakuta ipo nje kabisa duu,nikaamua kukata swali nikahamia la statistics lile la kujaza table kwa kukata vinamba sasa baada ya kumaliza kujaza table kila nikijumlisha idadi ya kwenye table haifanani na ile orodha kamili niliyopewa.Katika kuhangaika nakuta msimamizi anatangaza mmetumi saa moja tayr na mm ndo ninampango nikate na hili swali nianze tu section A.Nilinyanyasika sana ile day.
Tokeo likawaje?
 
Kuna jamaa angu mmoja anaitwa mwandoje.
daah huyu jamaa necta alikua anapiga chabo.
Basi msimamizi alimuweka kwenzi hiloo.. jamaa adi akalia na ukicheki jamaa ni mbabe wa darasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Msimamizi huyo huyo alimuotea jamaa mwingine kwenye practical..
Ila jamaa alikwepa lile kwenzi .
Yule msimamizi mapaka alitaka kuanguka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom