JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hello members, Kwanza kabisa, mimi sio mwanaume! kuna watu wananifahamu na ninaongea nao mambo mbalimbali ya kiimani na kibiashara! mimi sio malaya wala shoga! kukaa kwangu jf muda mwingi au kila...
90 Reactions
705 Replies
7K Views
Leo nimekutana na mtoto mmoja, huyu mtoto ana miaka kama 15 au 14 hivi, anacheza mpira wa vumbi, ila iwapo angepata nafasi ya kuendelezwa kipaji chake angekiwa mchezaji mzuri sana. Nilikuwa...
5 Reactions
21 Replies
272 Views
Jana baada ya umeme kukata na ule uzi wa raarifa kufunguliwa kila mtu alikua anatoa ushuhuda eneo lake halina umeme, sijui kwimba, Tandahimba, tunduru, kibosho, changanyikeni, nyakasangwe, kaliua...
17 Reactions
75 Replies
831 Views
Nimekuwa napenda sana kusoma misemo mbali mbali katika magari hasa mabasi ya abiria na yale ya mizigo. Ndipo nilipoamua kuwauliza madereva, nani anayetaka maneno hayo yaandikwe? Majibu yao ni...
28 Reactions
4K Replies
1M Views
Kama unampenda mama usipite uzi huu bila ku like binafsi nampenda sana mama yangu ============= ILOVE YOU MY MOTHER »»»»»»»»»»»»»» Usiku mwema wana jamvi
2 Reactions
13 Replies
155 Views
  • Redirect
Misemo ni mingi sana na kila siku kunakua na misemo mipya kweye mitaa mitandaoni' ila Leo nataka ushare msemo wowote ule ambao umewahi kuuona kwenye bodaboda au gari ambao una kautata kidogo au...
0 Reactions
Replies
Views
Habarini za jioni, asubuhi na mchana kwa walio huko mawindoni. Nimewiwa kuuliza hili swali maana hivi majuzi nilifululiza kuzika ndugu na marafiki. Katika kuchimba kaburi nimekutana na...
4 Reactions
19 Replies
249 Views
Baadhi ya member"humu jukwaani wana tabia ya kufungua uzi kwa member mwenzie et anampenda sana? utampendaje mtu hujawahi hata kumuona mtu unaefungulia uzi unampenda hata picha ya avatar sio...
3 Reactions
16 Replies
121 Views
Baada ya kutoka German kuja kusalimu wazee Tanzania nikiwa nimepanda public transport kwa mara ya kwanza nikamuona mwana-jf akiperuzi. Nilimuangalia nikatafakari sana. Huyu atakuwa nani...
19 Reactions
144 Replies
2K Views
Mimi naringia muonekano wangu, nikifika sehemu lazima watu waanze kunitazama kwa jicho la matamanio na butwaa. basi kama ni huduma napata haraka, Nadhan hata interview walipata butwaa mambo yakawa...
2 Reactions
15 Replies
151 Views
Wakuu nataka nipate watu kumi tu tuanzishe uzi wa memes tu tuwe tunacheka kuongeza siku Nikipata watu kumi tu tuta anzisha uzi wa vichekesho tutakua tunatupia memes kila siku na member humu wenye...
2 Reactions
7 Replies
102 Views
Kitambaa Cheupe mnapazingizia tu. Pana wastaarabu sana. Izo sehemu mbili tajwa kwa level yangu ya dhambi, nimeona mengi sana.
32 Reactions
332 Replies
9K Views
Bima ya afya ya uhakika , achana na hii ambayo kuna matibabu haupewi Passport, yani wewe tulia kabisa. Bustani ya mboga, wewe ni kima ambae hata haujitambui hivyo usichalenge na mimi, Cheti...
4 Reactions
3 Replies
69 Views
Ciao, Kuna baadhi ya watu humu jukwaani wamevurugwa na maisha kwa iyo wasikusumbue akili. Utawajua kwa hizi komenti 👇 "Jiandae urudi shule" "Kwan shule zimefungwa?" "Hama apo kwa shemeji...
4 Reactions
6 Replies
126 Views
Enzi hizo Tanzania tulikuwa na kituo kimoja cha radio, RTD. Piga ua ilikuwa lazima tu usikilize vipindi vyao vile vya ajabu ajabu kama vile, 1. Mbiu ya mikoa 2. Asilia salamu 3. Ukulima wa kisasa...
0 Reactions
73 Replies
12K Views
Mbishi:Mimi siachi kula nyama choma,mimi nitaendelea kula kila saa,nitaendelea kunywa pombe na soda,hatukuja duniani kua walinzi wa dunia,hakuna anaeishi milele mimi: 😂😂😂😂😂siku yake itafika tu🫣...
5 Reactions
41 Replies
514 Views
Mosi: uchawi wa farakana unalenga kuvunja mahusiano na kuleta chuki, utengano, au migogoro mikubwa kati ya wanandoa, wanafamilia, au marafiki waliokuwa wakipendana sana. Pili, uchawi wa gundu...
3 Reactions
13 Replies
182 Views
Kama unajiamini kama mimi na unayo pesa , kamwe usiseme kumpata mwanamke mzuri, kunategemea tabia yake Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa...
22 Reactions
55 Replies
540 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…