JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Yu wapi Nyani Ngabu ?huyu jamaa miaka yake amekula sana watoto wa humu. Akija TZ toka Marekani anakobeba mabox anarudi na Dollar. Anawakwangua sana mabinti wa JF. Amekuwa kimya siku hizi. Angalau...
4 Reactions
5 Replies
436 Views
Ooooy! Niaje wakuu, Kwanza kabisa Nina furaha kubwa Sana kwa siku ya Leo kuonekana tena Jukwaani hapa Mara baada ya kipindi kirefu mno tangu Enzi zile za Kina Gentamycine, Nyani Ngabu na Genge...
1 Reactions
11 Replies
581 Views
Niaje wakuu, bonjour comment cava! Kama title inavyosomeka, share chochote unachoona unakifanya kwa utofauti kinakusaidia kwenye mahusiano yako,kazi/ajira yako, biashara yako, ama elimu yako. Au...
6 Reactions
58 Replies
2K Views
Eti wakuu mbona sie wengine tunasikia tu hayo mambo ya kulishana bani? Nyie wenzetu huwa mnaandika vitu gani humu? Sasa jichanganye na hapa ule bani tena🤣
17 Reactions
113 Replies
2K Views
Angalia hapa jinsi ninavyochukua mazoezi adhimu kwajili ya mialiko niliyoipata.
1 Reactions
7 Replies
503 Views
Wasalaam.. Christmas ni kesho tu hapo, kila mtu anachinja chinja na kuandaa madikodiko plus kupanga viwanja vya kutanua. Huu ni uzi maalum kwa kupeana zawadi na mialiko, alika memba mwenzio...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni nilitembelea stand up comedy events kadhaa na taratibu nikaanza kuvutiwa kuingia huko na nikaanza kujaribu kufanya. Hivyo basi kupitia uzi huu nitakuwa nashiriki nanyi...
9 Reactions
14 Replies
605 Views
Baada ya Mishangazi kushika kasi sio vibaya tukajua sifa kuu za mshangazi. 1. Awe single. 2. Awe kaachika au mjane. 3. Awe mweupee. 4. Awe na pesa. 5. Awe mnene. Baada ya hayo, niwatakie...
20 Reactions
128 Replies
8K Views
Kama wewe ni Muislamu naomba unikumbuke kwenye SikuKuu ya Eid. Asante
6 Reactions
5 Replies
360 Views
Unakutana na mtu anadai hali Kitimoto lakini anakula SAUSAGE, si kujidanganya nafsi? Huku ni kujidanganya nafsi, na wakati unajua imani ya dini hairuhusu. Takbiiiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
2 Reactions
67 Replies
8K Views
Kipi kinauma sana MOYONI: 1.Kudharauliwa. 2.Kumpenda mtu asiyekupenda 3.Kuwa mpweke. 4.Kutofurahiwa na watu. 5.Kufeli mitihani. 6.Kumpoteza mtu muhimu. 7.Kumuona umpendae akiwa na mpenzi mwingine...
3 Reactions
14 Replies
727 Views
Habari zenu Wana JF wenzangu! Kwa kujiunga ni new member lakini nimekuwa nikisoma nyuzi mbalimbali za mahusiano forum Toka 2014 Bila kulog in, nikafanya maamuzi nijiunge maana nimekuwa napata...
7 Reactions
112 Replies
7K Views
Poor Brain mapenzi yata kuua min -me endelea kufanya meditation
20 Reactions
756 Replies
17K Views
Wiki ijayo narudi kazini sitakua na muda tena wa kuingia humu mara kwa mara. Njooni mshare na mimi vituko vya mwisho mwisho basi, nikiwamiss nije kuusoma huu uzi. Nini umekiona kwenye jukwaa wiki...
25 Reactions
256 Replies
9K Views
Huyu mlokole anafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika kubwa, lakini hajawahi kuiba hata senti. Eti anasema wezi hawataingia mbinguni. Mtu ana nafasi ya kutajirika haraka kwa pesa za shirika, yeye...
10 Reactions
58 Replies
3K Views
Jana bwana nikiwa natoka job nikakutana na jamaa yangu mmoja akanipa lift akiwa na wife wake na shangazi wa mke wake naweza kusema na yeye ni mkwe wake. Tukiwa maeneo ya Aga Khan upanga ghafla...
12 Reactions
28 Replies
1K Views
Mapenzi upofu Sisikii Wala sioni kwa Lamomy ,nawaza hili litakua jishangazi la mwendo Kasi, Lina mipaja na miguu minene, atakua na nyonyoh kubwa kubwa zilizojaajaa Kila nikimfikiria simpatii...
14 Reactions
192 Replies
5K Views
Ngoja na sisi expert members wa JF tuanze kutanguliza initial za JEM kwenye majina yetu
20 Reactions
79 Replies
2K Views
Hii kauli nikisikia tu na badilika.
2 Reactions
2 Replies
257 Views
Back
Top Bottom