JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Mama kashacheka uko angalia NMB 😂
13 Reactions
170 Replies
9K Views
Tangu Jumamosi nilidhani wangelipwa, lakini hadi leo kimya. Isije kuwa wameshalipwa wakaamua kunyamaza. Biashara imekuwa ngumu jamani—wadeni wangu, kama mmepokea malipo, tafadhali msinisahau.
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Hello everyone 👋 Sorry for the late info… But after deep thinking and unstoppable pressure from society — finally, my big day is here. We’ve come a long way together in this forum, so I had to...
7 Reactions
18 Replies
714 Views
Najiombea mafanikio mengi zaidi katika maisha yangu. 🙏
14 Reactions
71 Replies
2K Views
Uliza swali lolote kuhusiana na kitu chochote na JF member mwenye ufahamu atakupa jibu sahihi. ~ Dar Joto Sana ~
16 Reactions
601 Replies
17K Views
Kwema wakuu. Huu ni Uzi maalumu kwa ajili ya bar zenye wahudumu wazuri nchini Tanzania. Weka la bar, mtaa ilipo, wilaya na mkoa. Naanza Mimi : ONE POINT ipo Chanika wilaya ya Ilala jijini Dar...
8 Reactions
72 Replies
4K Views
for educational purposes and enjoyment ... Heb tutiririke jumbe ambazo kwako wewe huwa ni za kifala as per your perceptions. Tukiziona tujirekebishe ili tusionekane mazutwa kwa watu. Mimi mtu...
9 Reactions
90 Replies
3K Views
Kuna mtu huko inbox ameniita wa kienyeji, nimemuuliza inamanisha nini amekataa kuniambia. Naomba mniambie hili jina linamaanisha nini? au ni tusi? Nimejaribu kusearch humu JF nakutana na nyuzi...
14 Reactions
159 Replies
5K Views
Ulishawahi tuma message ndefu yenye maumivu makali ukajibiwa " SAWA ". Ulichukuwa uamuzi gani?
2 Reactions
5 Replies
497 Views
Usiku wa leo ukipigiwa simu na mpenzi wako, Kata simu mtumie message "AMELALA" alafu zima simu lala. Utakuja kunishukuru kesho asubuhi 😁.
4 Reactions
8 Replies
544 Views
Mfano umetuma kimakosa shilingi 500,000 kwenye akaunti isiyo sahihi, ukampigia simu uliyemtumia Ili akurejeshee mpokeaji simu akasema atakata 100,000 na akurudishie 400,000 Kwa huzuni kubwa...
3 Reactions
7 Replies
506 Views
Nimekutana na hili swali sehemu "Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?" Mimi nimejibu "Watu wanajua nina hela kumbe kapuku tu ninayejua kujitunza na kuwa na muonekano wa...
14 Reactions
108 Replies
5K Views
Picha hii ilipigwa mwaka 1959 na rubani wa helikopta kutoka Ubelgiji, Kanali Remy Van Lierde, wakati akiwa doria juu ya eneo la Congo. Nyoka aliyemuona alikuwa na urefu wa takriban futi 50 (sawa...
0 Reactions
6 Replies
500 Views
Habari Wakati umelala kitandani hua unakumbatia nini? 1.pillow/mto 2.mwenzi wako 3.doll 4.kitabu cha imani 5.unajikumbatia mwenyewe...
4 Reactions
69 Replies
5K Views
Inasemwa kuwa “wewe ni kile unachokula” kwa kumaanisha kuwa mwonekano wetu na afya ya mwili na akili unajengwa na chakula tunachokula. Madhara ya chakula chetu tunachotumia yako pia katika ngozi...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari za majukumu, Pamoja na mada nzuri na taarifa mbalimbali zinazotolewa hapa JF, wakati mwingine najikuta nacheka mwenyewe kwa baadhi ya ID/Username zanazotumiwa na baadhi ya members. Japo...
10 Reactions
26 Replies
2K Views
Hili ni baada ya kuwafahamu kina amosi wengi sana nilio kutana nao katika maisha yangu ya kawaida , nadhan ndugu msomaji hebu na wewe wakumbuke kina amosi ulio kutana nao kwenye maisha yako kisha...
2 Reactions
7 Replies
399 Views
Back
Top Bottom