JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mzuka wanajamvi! Freemasons tafadhalini muondoeni Elon Musk kwenye hiyo nafasi na hata kumi bora hasiwepo. Yani mmetuletea mtu wa ajabu sana. Yani bora nyakati zile mlituwekea kina Bill Gates na...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Halafu muda huo mvi hata kama zilikuwa chache za mbali zitajitahidi kujitokeza almradi zionekane tu🤣 Kuchongeana tu😏
12 Reactions
27 Replies
1K Views
Akikukuta una mamilioni yako ataondoka bila kuchukua hata mia. Kwanini? Au mchawi hapendi pesa aka chapaa aka maokoto?
5 Reactions
14 Replies
791 Views
Take your month and date of your birth and search for Quran verse. Maybe allah is giving some message...! Comment the verses
4 Reactions
1 Replies
277 Views
Utaweza kweli 😂 Kuna tukio la ujambazi limetokea mtaa wa jirani na jambazi ni kati ya Alex, Ben, Rick na Maria angalia hii picha. Ila walipofuatwa na polisi kila mtu alidai kwamba hakutoka usiku...
5 Reactions
11 Replies
799 Views
Unapokosa hamu ya chakula na una njaa basi jaribu hii option chipsi yai, nyama na soda baridi. Chipsi Ina ladha nzuri compared na wali au ugali. Chipsi Ina historia baadhi ya mabinti wamepoteza...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Karibu kwenye uzi huu! Una swali lolote kuhusu mada yoyote? Niulize papo hapo, nikujibu haraka iwezekanavyo.
11 Reactions
235 Replies
7K Views
We jaribu kununua ice cream za bakhresa kula. Nunua chips yai na kuku na milinda nyeusi onja. Nunua mishkaki Yani ni vingi tu, nimengundua ni vitamu sana, hakuna haja ya kujinyima raha.
15 Reactions
65 Replies
3K Views
Wakuu salam. Kama title inavyojieleza naomba kujua kuhusu usafiri wa mabasi kutoka dodoma kwenda tunduru ikiwezekana nauli take. Asanteni.
1 Reactions
8 Replies
617 Views
Msinishangae sana Ile kasumba ya mwanaume kusherehekea birthday ni ushamba sio ya maana kila mtu ana vitu vyake vinavyo mpatia furaha Leo nimeongeza mwaka mmoja naomba mnipigie makofi 🎂🎈
10 Reactions
61 Replies
2K Views
Jamaa anadai alivyovaa imemgharimu Euro 366800 kama Tsh 1b.. hawa jamaa ndo mabingwa wa kufeki. Pia kama hujui kifaransa hata kidogo ni shida yako binafsi. Hainihusu.
2 Reactions
7 Replies
412 Views
CHAPUTA (Chama Cha punyeto Tanzania) kimepata pigo baada ya serikali yao pendwa kupiga ban vichocheo vya kazi yao, yaani picha na video za raha utamu. Wanaendelea kuiunga mkono serikali lakini...
8 Reactions
34 Replies
4K Views
Mambo jamani,hivi CHAPUTA ni nini maana hili neno limejirudia sana humu Jf, msinicheke ila kujua Si mbaya.
1 Reactions
57 Replies
8K Views
Hello niwaulize mganga mwenye titi moja anapatikana pande gani ya Tanzania?? Nimeishi kumtafta sana na hakuna jibu la kweli. Je yuko Tanzania pande gani?? Kuna mtu anaeza nipa maelekezo ya njia...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Nimefanya utafiti wangu kila kona ya Dar es salaam nimeona wazawa wengi wa hili jini wote ni mabandidu wasio na huruma na hawaogopi lolote juu ya swala la pesa, watu wakilala wakiamka wanawaza...
8 Reactions
8 Replies
607 Views
Wanaume wenzangu yani hawa wanawake wakikukosa sehemu ya mapenzi,pesa basi wanatumia vyeo vyao kutusurubisha. Nilipataga mdada mmoja simple na haya yote na mlaumu athumani wangu wa chini kutawala...
5 Reactions
20 Replies
933 Views
Naona sushi kinakuwa overrated lakini mimi sijawahi kukielewa kabisa pamoja na chapati za kusukuma kila mtu ana hype chapati maharage ila mimi sizielewi kabisa.
10 Reactions
203 Replies
8K Views
Kwema jamani? Kuna tabia ninayo na naona kabisa imekua kama addiction yangu.kwa kifupi napenda sana kupiga chabo watu wakiwa faragha,yani huwa nafurahia kuwachungulia watu wakiwa...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
MIMI:- Mwalimu, nina swali 🙋🏾‍♂️ MWALIMU:- Ni lipi? 🙄 MIMI:- Unamweka aje tembo ndani ya friji? 😜 MWALIMU:- Sijui 😒 MIMI:- Ni rahisi sana, unafungua friji na kuweka tembo ndani 😁 MWALIMU:-...
5 Reactions
11 Replies
542 Views
Asilimia 90 ya wanama huwa wanadhani hamna kinywaji cha asili kinachoifikia mbege kwa hapa Tanzania mpaka siku wanapofanikiwa kuonja togwa. Japokuwa togwa sio kinywaji namba moja kwa umaarufu...
2 Reactions
10 Replies
460 Views
Back
Top Bottom