JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kutoka kwenye official page ya Rockstar Games, sasa ni official kuwa Grand Theft Auto VI litazinduliwa rasmi mwakani 26 may tofauti na matarajio ya watu wengi kwamba lingezinduliwa mapema ndani ya...
5 Reactions
39 Replies
1K Views
Wakuu huyu mrembo MAMBISE mchekeshaji wa WATU BAKI nimetokea kumpenda vibaya sana. Sura yake inanimaliza, pua yake inanitaabisha, tabasamu lake ndiyo usiseme. Pozi lake linanichanganya mno...
3 Reactions
21 Replies
740 Views
Ivi binadamu tungekuwa na maisha ya milele bila kifo ingekuwaje??
1 Reactions
5 Replies
278 Views
Wakuu anejua mwanya ini english
6 Reactions
167 Replies
6K Views
Sheria imewekwa ili ivunjwe. Tangu nilipoanza kusikia habali za bangi, sikutaka kuamini hivi hivi bila kuifanyia test![emoji4] Bangi niliipata kiulaini tu (kijijini), nikaiandaa vema kabisa na...
9 Reactions
164 Replies
8K Views
Wakuu Hivi wazungu huwa hawali nyama zenye mifupa kama sisi waafrica?
4 Reactions
38 Replies
1K Views
hello jf online... hamjambo wote kwa ujumla Temperature equivalent Baba wa mbingu Masagala Castle_Lite osib Chibolo Bengalensis mshamba_hachekwi Alphonse Kihwele Babuyao maiko sultan Mwani...
2 Reactions
0 Replies
179 Views
Niulize chochote, kuhusu lolote. Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika. Sitokutukana, nitakujibu kwa upole Karibuni.
6 Reactions
727 Replies
64K Views
Wadau kama Kuna mtu ana boda wake Morogoro mjini anamuamini Kuna vifaa vidogo Kwa bahasha mwanangu yupo Mzumbe chuo anahitaji kupelekewa. Nataka mtu avipokee mjini na ampelekee mpaka chuo ndani...
4 Reactions
11 Replies
509 Views
Nyie wazururaji nijuzeni Mimi nilikuwa sijui mmiliki wa samaki samaki anaitwa nani na Kuna mtu kaniambia ndo mwenye wavuvi camp..swali langu fupi ni je mwenye hizohizo samaki samaki za dar masaki...
0 Reactions
4 Replies
455 Views
Mim nilikuwa na mwalimu wangu wa biology ambaye kila mwaka lazma anikamate kwenye tukio la peke yangu na akinikamata ilikuwa ni kiminyo kikalii
1 Reactions
1 Replies
162 Views
Naamini kila mtu ana ndoto, malengo, mipango na maono ya maisha yake. Kwako, ni vitu gani ukivipata maishani vitakufanya ufurahi, uridhike na kusema kweli ndoto au malengo yako yametimia.
11 Reactions
168 Replies
5K Views
Mbona sijajenga? Mbona sijapata kipato cha uhakika? Mbona sina gari? Mbona sitengenezi faida ya uhakika? Mbona sijaoa/sijaolewa? Mbona sina mtoto? Mbona sina akiba? Mbona nachelewa? Mbona...
11 Reactions
95 Replies
3K Views
Na niweke wazi, nimeoa na hakuna nafas ya kuongeza mke mwengine.
11 Reactions
101 Replies
3K Views
Wakuu tayari jina lipo mezani. Hivyo nawataarifu TANESCO mjipange mapema. Ni mwendo wa kazi na bata!
3 Reactions
17 Replies
870 Views
Kama umesoma haya majarida enzi hizo, basi ni muda sasa wa kuanza kupunguza kula sukari na chumvi.
2 Reactions
8 Replies
370 Views
Utangulizi: Kwa Minajili ya Usiri/ confidentiality sitamtaja moja kwa moja mzee huyu aliyeishi Mkoa mmoja wa Kaskazini. Alifariki akiwa na miaka 104 Alikuwa na wake watano, waazuri wenye shape...
9 Reactions
56 Replies
2K Views
Nimekutafuta kwa muda mrefu, sijafanikiwa kukupata!! Naamini kabisa utakuwa member hapa JF.. and this is the only way for me to confess and let you to know the truth!! I got ur number kupitia...
5 Reactions
95 Replies
9K Views
Kwanza napenda niwapongeze 'Startimes' kwa kuiondosha kabisa chaneli namba 322 kwenye king'amuzi chao ambayo ilifahamika kwa St SA Music na kubadilishwa kusomeka St Kasi Music. Chaneli hii...
1 Reactions
0 Replies
269 Views
Back
Top Bottom