JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
sijui nitimize tamaa ya mwili?dah ila kimoyomoyo kuna roho inaniambia nisitende dhambi. sijui nichague uamuzi upi
2 Reactions
213 Replies
16K Views
Wengi watashindwa kupata jibu kwenye hii picha !!! Umeiona hiyo picha Kuna wanaume watatu wamebeba Gogo la mti ?? 😀 Wanapopeleka Mie sijui !!!! Lakini Swali lako ni moja TU !! Inabidi...
3 Reactions
11 Replies
712 Views
Huu Ndio Ulimwengu Tunaouishi 🌍 • Mwanaume anapokuwa na gari zuri, huvutia wanawake wengi kwake. Mwanamke anapokuwa na gari zuri, huwafanya wanaume wamkwepe. Huu ndio ulimwengu tunaouishi. 🌍 •...
12 Reactions
14 Replies
896 Views
Wakuu mengi yanazungumzwa kuhusu uzuri na changamoto za maisha ya Ulaya na Marekani. Wengi wetu tunaamini huko ndo watu wanaishi na sisi wengine huku ni wasindikizaji tu ila kuna wengine wanadai...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Lafudhi ya wasambaa inaniudhi sana Yani sijui wanaongelea koromeoni sisi wapare tunawaita wasambaa vashamba kwasababu nyingi sana.
6 Reactions
93 Replies
3K Views
Naomba kuuliza wakuu wapi naweza para t shirt zenye picha ya huyu mwamba mpambanaji wa kweli ikiwa mbele na nyuma nitanunua Kwa gharama yeyote Ile ziwe kubwa . Wakuu naombeni msaada
2 Reactions
10 Replies
482 Views
Niko uyole hapa napiga vyombo Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/= Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/= Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/= Boda bei ni...
36 Reactions
168 Replies
7K Views
Familia yako imetekwa na kundi la wahalifu na unatakiwa kwenda kuwaokoa, katika hii orodha unapaswa kupata watu wawili wakusaidie katika kuokoa familia yako. Utamchukua yupi na yupi? Binafsi...
2 Reactions
27 Replies
862 Views
Mimi hili jina nimeejiita baada ya kuokoka na kuachana na mambo mabaya ya Dunia. Nashangazwa na baadhi ya members humu kujiita majina ya ajabu hivi kwanini mnafanya hivyo? Watag members wenye...
21 Reactions
296 Replies
7K Views
Mhindi mmoja unauzwa sokoni shilingi mia mbili kwa bei ya jumla. Mhindi huo ukiuchoma, unatoa vipande vitano vya mia mbilimbili. Hapo faida ni mia nane (800) Tuseme gharama za uzalishaji ni 300...
4 Reactions
8 Replies
582 Views
Haya maeneo yanasemwa sana kwa sayansi ya gizani aka ulozi aka ndumba aka mambo ya busara. Hivi hapa kwa kuwa-rank unafikiri nani watakuwa vinara zaidi ya wenzao? Je kuna waliosahaulika hapo?
3 Reactions
92 Replies
3K Views
Kuna mtu humu aliwahi kuandika uzi kuhusu kumalizia upako kama alivyoita mwenyewe. Alisema alikuwa anafanya kazi nyumba za kulala wageni kwahiyo wateja wanaokuja na wenzi wao wakimaliza mambo...
6 Reactions
85 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF wenzangu. Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake. Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi...
19 Reactions
263 Replies
23K Views
Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai" Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda...
27 Reactions
197 Replies
5K Views
Kwa upande wangu mpaka sasa nimeshawakula girls 12. Nategemea idadi hii kudumu kwa miaka miwili mbele kutokana na mapambano yangu dhidi ya hali mbovu ya kiuchumi.
12 Reactions
83 Replies
3K Views
Hellow Kuna watu wana jiaminisha kuwa hawewezi kutapeliwa wala hakuna asichokijua kwasababu tu anaishi dar ni uongo Kuna watu wamezaliwa dar na wamekulia hapo ila wanatapeliwa kila siku na...
13 Reactions
110 Replies
3K Views
#RudiniMashambaniKuoa
8 Reactions
11 Replies
690 Views
Mwezi wa Pili unaisha leo, wale mliozaliwa tarehe 29-02 endeleeni kusuburi mpaka 2028! Wazee wa mwaka wa kuforce mipango ya kuitwa Boss imekaaje kwa mwezi wa 3? Wale ambao LBL imewasaula...
5 Reactions
36 Replies
1K Views
Ukitaka uadui fika barbershop wale mademu wakikuuliza huduma unazotaka sema nanyoa tu Huwa wananuna na watakuhudumia kama hulipii chochote Wakwambie scrub sijui massage ukatae, aisee ndo...
40 Reactions
93 Replies
4K Views
Back
Top Bottom