JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Scenario 1; Mwaka 2016, Novemba, Dar es Salaam, Sinza, lodge ya Twiga: Tulikuwepo tupo mitaa ya Katalaunya pale na wanangu km watano hivi tunakula maji/pombe za kutosha. Ilivyofika mishale ya...
23 Reactions
398 Replies
39K Views
kipindi naifahamu Facebook, rafiki yangu mkubwa alikuwa Marehemu Steve Kanumba....na nina uhakika alikuwa ni yeye haswa maana kuna matukio ambayo alikuwa anaya post yalikua real kabisa ya muda huo...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Japo ni mida ya wanga na wengi wamelala ila walio macho shikamoonii Mshana Jr pengine muda huu umelala ila sio mbaya kutakucha na utaamka(uamke salama kabisa) Anyway nakumbuka niliomba...
5 Reactions
16 Replies
825 Views
Huyu mtumishi namkubali anakula mshahara wa halali Ametukumbusha kuhusu matepeli Kwa siku tutapokea SMS hazipungui 10 za SITAPELIKI Sasa😅 imetosha kaka, ujumbe umeeleweka Na hakika SITAPELIKi...
17 Reactions
27 Replies
882 Views
Uzi maalumu kwa wana JF walio zaliwa Mkoa wa Tanga Hata kama haupo Tanga ila Tanga ndio Nyumbani basi husika Hapa. Dhumuni ni kufahamiana. Wa T.A tujimwae mwae humu. TANGA NDIO HOME
28 Reactions
1K Replies
109K Views
Habarini wakubwa wa kazi,maandalizi ya watani kunyoana kesho nadhani yanaenda kwa kasi nzuri….Rada za huku kwangu zinasoma kwamba bado tabu iko palepale,ila mwishoni mwa ligi watakaoteseka kesho...
10 Reactions
21 Replies
1K Views
Kila Mtu kwenye maisha kuna wakati anaamua kucheza kamari na maisha yake anaona Liwalo na Liwe, ikitiki Nimetoboa ikibuma FRESH (Kakubali Matokeo) Ni wakati gani kwenye maisha yako umeshawahi...
13 Reactions
59 Replies
2K Views
Nimeogopa sana! Kama usafiri wenyewe unakuwa hivi nitafia kwenye kwenye daladala sijui mwendokasi😭😭 Na mimi ni mfupi kama Evelyn Salt binamu yake cocastic
11 Reactions
29 Replies
977 Views
If you know, you know!
5 Reactions
2 Replies
300 Views
Hapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
13 Reactions
66 Replies
4K Views
Hello Guys, kama kuna mtu yotote Anaenda Arusha kesho na private car please Naomba lifti, nitachangia kidogo mafuta. Asante.🤝
1 Reactions
0 Replies
139 Views
Nigeria huwa wana content za comedy za kitoto sana, hazina ladha, English yao mbaya sana. Karibia content yao yote comedy siku zote ni kama ya walinzi wa getini wa bongo movies.
3 Reactions
20 Replies
874 Views
Hii siku kuu ya wanawake hua ina mbwembwe nyingi hadi kuwafanya kama miungu flani hali ya kua mioyoni mwao wanajua ushetani waliouficha. Mungu tukubalie saumu zetu 🤲🏼 .
1 Reactions
4 Replies
362 Views
SLOW DOWN 1. If You Are Looking For Wealth, Somebody Is Looking For Health. 2. If You Are Looking For Health, Somebody Just Died. 3. If You are Looking For Power, Somebody Has Acquired And...
0 Reactions
1 Replies
333 Views
Mods: Kuna Threads Nyingi sana zime/zinaaanzishwa juu ya Babu Loliondo, Hii ikiwa mojawapo. Ningeomba kama kungekua na uwezekano wa kuziunganisha zote. Or just One thread with sub topics ie...
1 Reactions
393 Replies
32K Views
Wakuu Poleni Na Mihangaiko ya Ujenzi Wa Taifa", Naamini Mitaa Na Maisha Havihitaji Hamasa,Naamini Vinahitaji Uzoefu", Kaka/Dada Zetu Mlioweza Kupiga Hatua kimaisha mje Mshare Nasi Experience...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Asubuhi mmeamkaje. Niseme hivi Gentlemen wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf. Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi...
11 Reactions
165 Replies
5K Views
Leo mambo mengi sana humu mara kafara, mara watoto kupigwa, karibuni tujipumzishe jamvini. Ikiwa umenuniwa na bebi wako au umefanya msala au hujisikii tu kuliomba tendo directly ila hamu...
4 Reactions
134 Replies
3K Views
Tuanze na faida -Uhuru wa kujiamulia mambo yako mwenyewe pasipo ulazima wa kushauriana au kumshirikisha yeyote. - Hauwajibiki kwa yeyote. Hakuna wa kukuuliza, mfano-saivi uko wapi (hili swali...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna masomo yana zeesha kuliko wanywa gongo na wabeba mizigo. Kijana alikwenda kusomea engineer kwa kipindi cha mda wa miaka 5 urusi.
4 Reactions
12 Replies
640 Views
Back
Top Bottom