JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sio kunguru wala bundi ni ndege aka aeroplane kwa lugha ya kihaya Hivi wakuu kweli nishindwe kumiliki hata hutu tundege tudogo tunapitaga hapo juu hadi unaona ngondi za suka anakanyagia klachi...
2 Reactions
1 Replies
213 Views
Salaam wana jamvi! Wajuzi wanasema kua yuaone. Kama tunavyohua mabachela watafutaji hususani wanao anza maisha wengi wetu tuliotokea kwenye familia dhaifu kiuchumi tunaanzia kwenye ghetto ndo...
15 Reactions
85 Replies
11K Views
DISCLAIMER (KANUSHO): Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya burudani tu, Maudhui yake hayana nia ya kukashifu, kudharau au kuchukulia poa harakati/imani/mitazamo au kazi za watu.. Tufurahie na kucheka...
105 Reactions
411 Replies
20K Views
Wife nishakujua ila endelea kuwapiga pini wanaokuja DMs
7 Reactions
13 Replies
631 Views
Hakika si kilimo tu, sasa wameingia katika dunia ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa kasi kubwa.
10 Reactions
42 Replies
1K Views
Kuna namna unaishi inapelekea wale wajomba wanaokaa vijiweni na kwenye gahawa wanaanza kukujadili hadi kuja na conclusion kuwa wewe ni usalama wa taifa kumbe kijana wa watu hata bastola haujai...
2 Reactions
8 Replies
492 Views
Weka neno moja kwa Kaka mkubwa katika miaka yake 10 ya ndoa! Hajawahi kumpiga mke wake, na amekuwa akifanya kazi zote za nyumbani.
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Mwenye picture ya hiyo blowjob aiweke hapa
0 Reactions
2 Replies
265 Views
MIMI👇 1. Kutemea mate pale nilipokojolea 2. ..........
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Nikiwa chuo mwaka wa pili hii siku ilikuwa ni siku ya game ya UEFA (UCL knock out stage) kati Liverpool na team flani siikumbuki. Kawaida yangu game kama hizi mara nyingi nilikua naangalizia...
12 Reactions
30 Replies
1K Views
1.Mwajuma ndala ndefu 2.simba mzee 3. uwauwa 4.saidia masela 5.voda fasta endeleza.....
1 Reactions
58 Replies
12K Views
Naombeni msaada Kwa mtu anaejua mitaa ya kata ya mbezi mwisho kama mitano tu anisaidie
0 Reactions
18 Replies
680 Views
Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi 1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari 2. Unafika kwako saa nne usiku na...
27 Reactions
70 Replies
2K Views
Alinitext kwa kiswahili nikampeleka kwenye hiyo lugha ya mama, heheheee mwamba kumbe hajui kutema yai 😂😂
11 Reactions
81 Replies
2K Views
MASIHARA! Kuna watu mwezi huu (mwezi wa mfungo) wanatumiana jumbe za simu za namna hii licha ya kwamba na wenyewe wanashiriki mfungo. Mwanaume:👁️‍🗨️ "Baby tukimaliza kufuturu, mida ya saa moja na...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Kwa kawaida kila mtu anakitu ambacho akinywa kinamfurahisha! Je wewe ni Kinywaji gani ukinywa unasikia koo limeshukuru!
13 Reactions
148 Replies
5K Views
Wakuu ni kitu gani ulinunua kwa pesa yako ya kwanza kulipwa au kupata iwe kwenye ajira rasmi,boom la chuo au pesa uliyoingiza kwenye biashara. Nakumbuka kipindi naanza chuo mwaka 2014 pale udsm...
5 Reactions
11 Replies
485 Views
Najua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..? Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japan. Funguka Mkuu..!
4 Reactions
165 Replies
7K Views
Shkamoo mama, najua protocol haziruhusu ila naomba unialike hata tusipo onana ni sawa, nahitaji tu kunywa chai ya ikulu na kupunga hewa kwa nusu saa kabla sijarudi mtaani kuendelea na utafutaji...
2 Reactions
10 Replies
417 Views
Back
Top Bottom