Tuanze na faida
-Uhuru wa kujiamulia mambo yako mwenyewe pasipo ulazima wa kushauriana au kumshirikisha yeyote.
- Hauwajibiki kwa yeyote. Hakuna wa kukuuliza, mfano-saivi uko wapi (hili swali...
Vip watafutaji, wapambanaji na wawajibikaji? Kwanza niwasilimu na kuwapongeza wote mnaopiga kazi bila kuchoka. Hongeren sana.
Sasa ni kawaida kwa mpambanaji kukutana na changamoto kibao za...
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada kuu.
Mimi hapa nimezaliwa mjini Daslamu miaka mingi nyuma kabla ya mwaka 2000, kwa mazingira niliyokulia na watu wengi tulioishi nao ni Wazarumo. Lakini cha...
Vitu 10 vya kuzingatia ukitaka kuanzisha ghetto lako
SIMPLE GHETTO KWA MARA YA KWANZA wigos[emoji16]
1.Akikisha una kazi ambayo itakupa hela ya kodi.
2.Panga chumba cha bei ndogo lipa kodi ya...
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini...
Kuna Dada mmoja anamporomoshea kashfa na kejeli za kila namna mume wake wa zamani, akimwita ka Omari.
Mbaya zaidi huyo ka Omari kakaa kimya, hajibu chochote
Sifa za mwanaJF
1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi.
2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua...
Kwa uelewa ulionao sasa, unafikiri ungesoma shule tofauti ingekusaidia kwenye maisha, ajira au biashara?
Je, watoto wako watasoma shule kama uliyosoma wewe au utawapeleka kwingine?
Binafsi...
Gari niliyonunua milioni 5 nikiwa nimeitumia miezi miwili tu niliiuza kwa milioni 1 na laki 3 kumaliza kesi flani isifike mbali tumalizane kimya kimya, pesa ilikuwa inahitajika fasta hivyo mteja...
Hello kuna vitu wazazi walikuwa wanatukataza kabisa kuvifanya na ikibidi ata fimbo utapigwa ila wapi ujaacha
Mimi kula nimelala au nikiwa na kula situlii sehemu moja nitatembea tembea mpaka...
Mimi ni Wakiume bado ni Mwanafunzi wa chuo flani hapa Dar es salaam lakini ni nimepata kapesa kadogo .Nipo na 4.5Million nifanye biashara gani ase maaana sitaki kapotee? 😭😭
Adolescence stage ni kipindi kati ya miaka around 16 hadi 22 hivi. Ni umri wa kubalehe kwa mwanaume na kuvunja ungo kwa msichana. Kisayansi unaitwa foolish age kwa sababu kijana ndo anaachana na...
SOURCE: Grok.
Ikiwa ningekuwa nikicheza nafasi ya adui mjanja kama Shetani, labda ningejaribu kuchafua kichwa cha mtu badala ya kutafuta kitu chochote cha kustaajabisha sana au dhahiri...
Hayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.
Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.