dume30
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 391
- 219
Wazee Wa nguvu Mali mpooooo? Mimi ni miongoni mwa watanzania waliowah kupata bahati ya kusoma kwenye hyo shule.
Nasema bahati kwasababu ya upekee wake katika taaluma , mandhari madarasa n.k
Tuliowahi kusoma hapo tukumbushane mawili matatu kuhusu shule yeti!
Tukumbushane machache ya Msocha,Kinana, McMaster, Mwakasaka ,and the rest.
" Galanos school penda watoto , twakupenda ,twakusifu, tangu zamaaani shule yetu ilikua motomoto.........,"
Nasema bahati kwasababu ya upekee wake katika taaluma , mandhari madarasa n.k
Tuliowahi kusoma hapo tukumbushane mawili matatu kuhusu shule yeti!
Tukumbushane machache ya Msocha,Kinana, McMaster, Mwakasaka ,and the rest.
" Galanos school penda watoto , twakupenda ,twakusifu, tangu zamaaani shule yetu ilikua motomoto.........,"