Mchungaji alikuwa anawafundisha vijana somo la upendo na kusisitiza "PENDANENI KAMA MUNGU ANAVYOTUPENDA". Baada ya mwezi mmoja, kijana mmoja akamwendea Mchungaji na kumwambia, "MCHUNGAJI, SOMO...
Wakuu haya si maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa mtu wangu mmoja ninayemwamini sana kwa kunipa uzoefu na nasaa juu ya mambo mbalimbali ya kimaisha.
Kwangu ilikuwa moja ya siku nzito sana na picha lilianzia palepale showroom ile nimekabiziwa tu mkoko.
Nlikuwa sijui kuendesha lakini nling'ang'ana niendeshe mwenyewe nkakoswakoswa na daladala...
Ndugungu zangu katika imani!
1. Siku hizi nikiona mtu anaongelea usimba na uyanga namwona punguani.
2. Nikimwona mtu wangu wa karibu anaisifu Korea kaskazini kama nchi hatari duniani namwona...
Hivi huwa mna matatizo gani?
Hili haliusiani na siasa tafadhali sana.
Hapa ilipoandikwa tuende hapo.
Wewe binti leo umekua vimaziwa hivyo
Mabazazi wananyonya.
Wewe binti umezaliwa baba yuko wapi...
hahahahahahahaha hii iliniacha hooi bin taabani
MKURYA MMOJA ALISIKIKA AKISEMA:
AROO! HAYA MAJITU YANASHINDWA KUBIKIRI FIZURI, MAWASO YAO YOTE YAKO KWENYE KURA KIBORO NA UCHI.
akiwa na...
Hii nchi ina vituko na JF ndio studio yake🤣
Ni basi tu tunawaponda dada zetu walio 30+ ila Kijana wa kiume ukishafikisha 30+ wewe nae ni "LIJOMBA" hadhi ile ile ya lishangazi.
Siku hizi wadada...
Majina ya kwanza kwa watoto wa kwanza wa kiume
Marwa-Pombe
Mwita-vita
Chacha-zimekuja( ng'ombe zilizoibwa zimekuja)
Majina ya kwanza kwa watoto wa kwanza wa kike
Rhobi- msururu wa( hasa ng'ombe...
Amani iwe nanyi waungwana...
Haya maswala ya kuigaiga na kujifanya over confidence kisa Umeona kuna watu wa aina fulani, niwaonye yatakuja kumtoa mtu uhai!.
Kiberenge wa watu nilikuwa nimeenda...
Wakuu Leo nilikuwa na laki moja na elfu 47,nimeiteketeza yote.kivipi?kihivi!
Leo nilikua nakunywa pombe za kistaarabu heinikeni nikanywa vingi tu kwenye grocery fulani sasa nimewakuta mademu...
Heshima mbele wakuu.
Tumeshuhudia mara nyingi, watoto hurithi kazi za wazazi wao. Kama baba alikuwa mwimbaji mtoto nae anakuwa mwimbaji, kama mama alikuwa muigizaji mtoto nae anakuwa muigizaji...
Leo katika pitapita zangu mitandaoni mana kipindi hiki bwana ukikosa bando Bora ukose mke au mume ila sio Bando. Dakika kumi kuzima data ni nyingi ukiwasha ni kama miaka mitano imekupita...
Guys me and ke je ni aibu gani ishawai kukuta wakati wa mechi ukavunga tu ila uliona aibu yaani kifupi ni tukio lilokupa aibu je ni lipi?
Mimi nilikuwa sijui matumiz ya shanga manzi ndio...
Wazee sijui ni mimi ndo nimekua konkodi kiasi kwamba pombe zinadunda au vipi?
Kuna hii pombe ina ladha ya whiskey inaitwa captain Morgan.
Wahusika wanajitahidi sana kuipromote but sioni kama...
Hii dunia ina watu wa ajabu Sana. Huyu rafiki yangu ana asili ya Mbulu na anaishi Bunju ambako ana mke na watoto wawili.
Last week alinipigia simu mida ya saa kumi na mbili jioni kuwa anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.