Wishing you a birthday as perfect as you are for me.
Your day is as special as you are! May your birthday be as unforgettable as you are every day.
Here's to another year of good health and...
Iwe hivi sasa...
Bila kujali muda na Umri wako Jf
Chit chat iamke!!
Wakongwe na Wasasa Hoyeee.
Nitakuja na list muda sio mrefu.
To be continued...
By the way hii forum inaendelea.
Kwa picha...
Kwema wakuu.
Jambo gani umekuwa unataka kumwambia mtu lakini hujamwambia, huenda ni kumpa pole, kumuomba msamaha, kumshukuru kwa jambo, kumwambia jinsi gani unampenda.
Share jukwaani ni jambo...
Wasomi Kwa maksudi mmepuuza siasa na hamtaki kugombea, Wacha Sasa mtawaliwe na kuongozwa na mambumbumbu
1. Mh Dj Romy Jons
Waziri wa Katiba na sheria
2 Mh Shilole
Waziri wa Viwanda na uwekezaji...
Natumai mu wazima.
Nakumbuka way back nikiwa kwenye harakat zangu...
Kuna baharia aliniita na kuniuliza ishu Fulani, nilmjibu kavu akanambia "chora".
Nikawa nashangaa tu kumbe maana yake ilkuwa...
Heshima kwenu wakuu wa Jamiiforums! Kama kawaida, dunia haina usawa, ila kuna viumbe ambao wao wanaamini wameumbwa tofauti na sisi wengine. Hapa sizungumzii malaika au miungu, hapan naongelea wale...
Kwa wale wapenda mambo yetu yale huwa una pendelea kutumia kinywaji gani uwapo maeneo ya burudani?
Binafsi nikiwa viwanja napenda sana wine ya "saint Anna" ina nipa stata kwa uzuuuriii...
Walio sema Shule ni Ufunguo wa Maisha wametupiga na kitu kizito
Kama ni kweli mbona wasomi wengi bado wanahangaika na Maisha?
Sahihi ni kusema Shule ni Ufunguo wa Maarifa
Ni hayo tu!
Nakusalimia tu boss wangu uliye mbali na mboni ya macho yangu
Haiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!,umenizururisha kwenye hilo jiji ,kidogo nilifahamu, nilieenjoy
Nitarudi tena,nakumis , nakumiss, nakumiss...
Hili wala halina Ubishi kuwa Suala la Bahati na Nuksi itokayo kwa Mtu au Watu fulani ina Nguvu Kubwa mno katika Mafanikio ya Jambo au Mkakati fulani.
Kuna Watu ukiwa nao katika Familia au Taasisi...
Mko salama wakuu?
Jana nikakutana na jamaa zangu flani ambao saivi ni madereva wa IT,tukapiga tungi weee nikaona jamaa wanachanganya kuberi na konyagi kuwauliza wanasema eti inakata...
Kwema wakuu.
1. WAPO WATU wanaodai radi ni jogoo, na mtabishana sana ukipinga kwamba sio jogoo. Wanadai mvua ikinyesha jogoo yuko nje, kuna uwezekano mkubwa wa radi kupiga eneo hilo. Je ni kweli...
Noma sana.
Nilikua bored sana nikaona nitafute sababu ya kuwa na furaha leo😅😅😅
Baada ya kutengeneza CV kwa dakika 10 kupitia Hii AI nikaona nianze kujifurahisha
Habari wakuu
Mara ya kwanza kujiunga na huduma za kibenki nilienda kwenye tawi la benki wakanisajili ikafika mda wa kufanya kadi iwe active.
Nimeenda kwenye ATM na yule mhudumu akaiweka kadi ndani...
Tunaomba Bunge Lipitishe Sheria
Turuhusiwe Kuwapiga Makofi Mashabiki Wa Simba Bila Sababu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ili kuendelea kusherekea ubingwa wa wananchi Kwa...