JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ukiona bado unapambana na tabia zako kwa kutegemea kitu fulani kikusaidie katika kuziweka sawa hizo tabia usizozipenda basi jua bado haujakuwa kikamilifu!. Kukua ni pamoja na kuweza kupambana na...
2 Reactions
2 Replies
198 Views
Tunatumia mtandao kila siku. Wengi wetu huchukua muda wao mwingi sana kuingia online na kuchat na marafiki, kupata habari, kudownload, kusoma udaku, kuangalia video nk. Well, wengine huingia...
10 Reactions
100 Replies
116K Views
Karibuni wadau wote mliozaliwa miaka ya 2000's wadada na vijana wa kiume tuje tupeane michongo mbalimbali ya maisha Shangazi zetu na wajomba muwepo kutupa ushauri tu na si vinginevyo
2 Reactions
29 Replies
664 Views
Kuna wakati nilijua kila mwana JF anaendesha crown na harrier. Mkate wananua mlimani mall tu Pia nilijua kila demu ni slay queen na matipwa tipwa, Nilijuaga members wote humu wamesoma zile...
24 Reactions
135 Replies
3K Views
Wakuu habari, Kuna hili jambo linanitatiza na kunikasirisha sana, hivi hii dhana ya kwamba ukila bamia au dagaa wewe ni Masikini ilianzia wapi na inatokea wapi? Yaani mimi niangaike kutafuta...
14 Reactions
76 Replies
2K Views
Naombeni kujuA hv kuota unadondokea kwenye shimo refu maana ake ni nin ??
2 Reactions
16 Replies
694 Views
Nikiangalia kwenye kioo, Sura, Ngozi ilivyo, macho, kifua unaona kabisa you are real blessed. Ukifika mbele za watu unakuta wanakupa attention tena kama wanaume ndio wanakua hawajiamini kabisa...
5 Reactions
57 Replies
1K Views
Kuna wale tulikuwa nikifikisha miaka 30 ntakuwa nimejenga nyumba nzuri, nna kazi nnayolipwa mshahara si chini ya Mil. 5 au nimeajiajiri na biashara yangu inaingizia si chini ya mil. 10 kwa mwezi...
11 Reactions
45 Replies
2K Views
Katika kitu ambacho nimeshinda kabisa ni Kulala nikiwa bila nguo kabisa yani bila kaboksa au pensi fulani la kwenda sitoboi. Wenzetu mnaweza vipi? na umeshawai kufikiria kama Ikitokea dharura una...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Hii Njia usipojidhatiti lazima uangukie pua kama wafuatao, 1. Ndenjela 2. Ilasi 3. Sauli 4. Matema 5. Rungwe 6. Scandinavia 7. Hood, 8. Majinjah.
1 Reactions
10 Replies
668 Views
Hello Chit Chats Jamani jamani K kumbe inasura mbaya nina kastory kananiumiza kichwa nimevurugwa kisaikolojia kutokana maumbile ya hii eskanunu ahahahahah Yaani mimi K yangu imejaa mashavu ni...
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Katika makuzi yangu sikumbuki lini niliwahi kupigana na mtu na hata kama nilipokuwa najikuta niko kwenye ugonvi silaha yangu ilikuwa mdomo😁 nilipokuwa/huwa nikion naona mambo yamezidi nanyamaza...
32 Reactions
245 Replies
7K Views
Wakuu, Hebu njooni hapa tukumbushane tabia ambazo Watanzania tu tunazo, yaani huzikuti Ulaya wala Marekani, ni hapa Afrika tu Mimi nina hizi hapa za kwangu wakuu Umeme ukikata ni LAZIMA utoke...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu, naomba kujua kama inaweza leta shida kwenye mambo ya utambulisho ikiwa baba akaamua kulitoa jina la ukoo kwa majina ya mwanae. Mfano Mimi naitwa Joseph John Mbilinyi, ila mtoto wangu...
6 Reactions
77 Replies
2K Views
Wakuu haina haja ya kutapeliana... Unataka Assist? Njoo omba hapa upewe... ha ha ha ha... Nampenda mke wangu shansarie!! She is the Best assistant I never had.
11 Reactions
241 Replies
14K Views
Ni kauli ya jirani yangu tukiwa ndani ya Bajaj mimi nikiwa nawahi Masifu ya Asubuhi yaani Morning Glory pale Kanisani Azania Front Nilishangaa sana 🐼
1 Reactions
7 Replies
510 Views
Back
Top Bottom