Mwanaume hukuzaliwa kuwa mtumwa wa tamaa ya mwili wako
Lakini usipozinduka mapema, tabia zako sio tu zitakuua bali zitakuzika ukiwa hai.
Wengi wa wanaume hawaharibiwi na maadui zao....bali na...
Kuna maeneo na majina sitoyataja kwa makusudi ili kuficha walioathirika na matukio yaliyotokea ambao kwa sasa wengine ni watu wakubwa na vyeo vyao serikalini na vyombo vya dola.
Ilikuwa siku ya...
Mabibi na mabwana napenda kuitambulisha kwenu Avatar yangu mpya ambayo nitaitumia kwa mwaka 2025 nakuendelea.
Haki zote zimehifadhiwa hairuhusiwi kutumia Avatar hii mahali popote pale bila idhini...
● Kabla ya starehe, timiza majukumu yako
(Before pleasure,fulfill your responsibilities)
● Ukiona rafiki anahama,msaidie bila kuuliza
(If you see a friend moving,help without being asked)...
Yani wanamuona msela kabisa amekaa zake anafurahia maisha n kisha unamuagiza mhudumu ampe vinywaji, huo ni uhuni wa zaman na dharau, unavyodhan ndivyo kumbe sivyo mtakuja kupigwa ngumi nyingi...
Fanya tu Utafiti kuanzia Enzi za akina Oscer Kambona hawa akina Mkapa na Warioba uje hadi kwa akina January na Nchemba PhD kisha malizia kwa akina Gambo, Kikeke na Mwijaku
Wanawake wa Kichagga...
Wakuu hongereni na poleni kwa majukumu
Kwanza namshukuru Mungu kwa mema yote hadi nimefanikiwa kupata kazi serikalini. Mimi ni mwenyeji wa Mikoa ya Kusini ila kwa sasa nipo Arusha hivyo nitatokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.