Picha ya pili ni Watanzania tunajifanya kuwa hatujamsikia Samia akidai kuwa amekopa concessional loan ya miaka 20 kwa ajili ya kujenga madarasa, wakati tulishaambiwa kuwa Tozo ni kwa ajili ya...
Nadhani kama Siku ya Hukumuy Kwake Mungu Sebuleni Kwake Mbinguni Wanaume wote tutahukumiwa na hii Dhambi ya Kudanganya / Kuongopa. Huwa nikikaa Mwenyewe na Kujitafakari kwa aina ya Uwongo ambao...
Habari zenu wakuu, herini kwa sikukuu pendwa za mwisho wa mwaka. Tukiwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2021 kwanza tumshukuru Mungu kwa zawadi ya huu mwaka na uhai hadi sasa tukiwa na imani ya...
Nimekuwa nikitafakari kwa kina juu ya neno “Tomboy.” Kwa kawaida, linamaanisha msichana ambaye ana tabia, mavazi, au mienendo inayohusishwa na wavulana.
Lakini kila nikilitafakari, linazidi...
Hii story bwana ilitokea miaka kadhaa wakati nasoma kidato cha pili hivi,
Jirani na shule yetu kulikuwa na nyumba za wakazi wengine ambazo baadhi yake zilikuwa na vyoo/mabafu ya PASSPORT SIZE...
Huu sio uzi wa chuki wala kejeli, ni namna ya kutazama haya makundi mawili hapa jamiiforums ambayo, wao huwa wanaangalia kigezo cha dini tu, yani yuko radhi usiku aite mchana ili kutetea upande...
Kwanza pamoja na kuwalaani sana kwa kutuletea samaki wenye sumu'ndugu zanguni hasa wale walioleta
nawashukuru amkuleta kitimoto maana madhara yake ni makubwa kuliko samaki hasa hasa mtawatesa...
Darling, I'm sorry..
I'm sorry for hurting you
I'm sorry for hurting your feelings
I'm sorry for making you doubt my love for me..
I'm sorry...
Duh,
Kuna mtu hapa ofisini amenifanyia uhuni...
Anzisha hiyo sredi Some minutes after Lunch Times, kwenye Forum ya MMU halafu iwe inamgusa au inamuongelea Member maarufu wa MMU.
Kuna anayebisha hapa?
kwakua ndugu zetu waislam..ni wakarimu na waungwana na wako kwenye kipindi cha mfungo wa Ramadhani
natagemea basi..Dada FAIZA FOXY kumkaribishana FUTARI na DAKU Rev Masanilo....MUADHIRI...
Jana nikiwa katika mishe mishe ndani ya Daslamu,kwanza nilipita sehemu nikaona watu bwana wana makazi mazuri sana,yani unapata hamu hata ya kuwahi kurudi home,nyumba kali,garden kali na swimming...
Ilikuwa ni siku ya mimi na yeye, tukiwa ndani tukirabahuka kwa muziki na pombe kwa mahaba na huba, kwenye playlist yangu nikawa nimetupia huo wimbo!..
Nikaona mwenzangu kanyanyuka mikono juujuu...
Kupitia post na mazungumzo na Mr IQ intelligence mshana Jr The platinum nimejifunza haya hapa.
01.Waganga wanafanya KAZI kwa kumuomba Mungu, na wewe usimuombe Mungu kupitia mganga(Muombe Mungu...
Habari za Jumapili wakuu;
Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu.
Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.