JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
For anyone who cares enough and also those who don’t, i am celebrating her, you can join me... "Happy birthday to my love, my best friend, my agony aunt, my complaint hotline, my emergency...
18 Reactions
121 Replies
8K Views
Habari wana JF poleni na Majukumu wakuu .. Kwenye simu Yako ume save WIMBO upi kama ringtone Yako pendwa Mimi marvel _Don't let me down 🎵🎶
5 Reactions
81 Replies
2K Views
Aisee kausha damu sio cha mtoto🤣🤣
5 Reactions
7 Replies
509 Views
Ustadhi Covax vs ex-ustadhi hamis77 Muyahudi Eli Cohen vs mpalestin Webabu Oktoba tunatiki Lucas Mwashambwa Tlaatlaah vs Mshana Jr technically no reforms no election Wife material Joanah leo...
16 Reactions
50 Replies
1K Views
Wakuu tangu niko mdogo nimezoeshwa kuoga kila siku ila sijawahi kuona faida yake Vipi kama nisipooga nitanuka halafu baada ya miezi harufu itakata na sitanuka tena. Si itakuwa niko huru maishani...
4 Reactions
20 Replies
648 Views
Hii ni maajabu, yaani paka anapigwa na panya hadi ana kimbizwa 🤣, niko hapa kariakoo naona paka kapigwa na panya na kukimbizwa juu,hasa najiuliza panya akimkamata paka atamla au? siamini...
4 Reactions
12 Replies
533 Views
Nimekuja kugundua, kuhangaika kwangu kote katika kusomesha vijana wangu shule za gharama kubwa, kumbe najitengenezea bomu la maisha ya upweke na yasiyo kuwa na matumaini uko uzeeni. Vijana...
9 Reactions
58 Replies
1K Views
Hello! Kitambaa gani cha sofa kizuri ambacho rangi ya ung'avu inadumu kwa muda mrefu. Kitanda gani kizuri kati ya kile chenye uvungu na kisicho na uvungu (kitanda cha box)?
0 Reactions
11 Replies
615 Views
Salaam, Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum. Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri? Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu...
9 Reactions
255 Replies
13K Views
Wakuu, Katika maisha kuna mambo ambayo huna budi kuyaamini tu, hata kama umehadithiwa na hukuyashuhudia mwenyewe. Kwa mfano, mtu akikuuliza: “Ulijuaje kama mwaka wako wa kuzaliwa ni sahihi?”...
2 Reactions
12 Replies
545 Views
Kwanza niseme natanguliza heshima zote kwako best yangu Marry Diana. Pengine utafurahishwa ama kuchukizwa na bandiko hili, siwezi kuzuia hisia zako lakini ninaweza kuzipooza kwa kusema neno...
16 Reactions
237 Replies
5K Views
Katika tukio lililogeuka burudani ya ghafla katikati ya huzuni, mpiga tarumbeta mmoja nchini Kenya amezua kicheko wakati wa mazishi baada ya tarumbeta yake kushindwa kutoa sauti stahiki! 😅 Video...
2 Reactions
2 Replies
618 Views
Kitu gani umefanya siku za karibuni au huwa unafanya mara kwa mara kujipa raha mwenyewe au kupata furaha. Naanza: Kufanyiwa oil massage (kukandwa kandwa ) Tendo la raha / Ngono (Kuna mtu...
10 Reactions
261 Replies
4K Views
Mida ya kupumzika na kutuliza akili hizi ndo nyimbo pendwa 1."sacrifice by Elton John 2."Sexual healing" Marvin gaye 3."kenny G " forever I love 4 "Joe ".i believe in you 5. "Ruben studdard" I...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwa Dar ni kawaida sana unaweza kuishi miaka na miaka bila kuonana na ndugu au jamaa yako anayeishi hapohapo Dar labda hadi muwe mmekubaliana muonane. Kuna mkoa gani mwingine una sifa kama hiyo...
0 Reactions
10 Replies
444 Views
Mhhh, watu wanapeana ushirikiano jamani. Inaonekana huu mchezo unapendwa na jinsia zote, sasa ni kuwatenganisha tu kama talebani. ==== Pia soma: Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio...
47 Reactions
217 Replies
30K Views
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Hiyo siku ya Jana nimeimaliza kwa vichomi na kutetemeka hali sio poa baridi kinoma..vipi huko mikoani wenzetu Hali ikoje mwezi JULY 🥶🥶
0 Reactions
3 Replies
215 Views
Nyuzi ya kutambua waliotufurahisha kwenye majukwaa ya JF kwa nyuzi walizoandika au majibu waliyotoa kwenye replies ndani ya wiki hii. Watu walionifurahisha humu ndani wiki hii ni Nusratt ...
15 Reactions
435 Replies
7K Views
Shalom, Daah nimepita jumapili na jumatatu pale Arusha Kila mwenye Bar anafanya ubunifu wa kuweka Wahudumu Wenye Matako mazuri na makubwa ni full shangwe. Sijui hii tabia ya Arusha na matako...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom