JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hapa hata wale waliotaka kuwahi kuondoka kwenye kikao wataendelea kusubiri tu. 🤣
10 Reactions
19 Replies
920 Views
Uraibu upi mzuri na upi mbaya Expression zipi ni nzuri na zipi ni mbaya Uraibu (Addiction) Siku zote kuvutiwa na jambo fulani sana uwa inategemea una roho ya namna gani na asili yako ni ipi...
1 Reactions
3 Replies
242 Views
Kulikuwa na kijana moja aliyeitwa Chaupele,aliitwa hivyo kutokana na kuwa na vipele miguuni,siku moja akiwa amekaa nzi wakaanza kumsumbua na kukalia kwe vidonda vyake miguuni,alichofanya siku moja...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Hivi wakuu, kuna App inashinda hii kwa kuonesha majengo au maeneo mbalimbali bila kuacha kitu chochote.. hii App nakubali sana na inanisaidia kupima maeneo shambani kwangu kwa Acre/hekta pia...
2 Reactions
15 Replies
641 Views
Wote tuliomo humu, tukaanzishe timu za mipira kwenye vijiji tulivyotoka. Lengo likiwa ni kuwaboreshea mazingira ya umoja na mshikamano, na pia iwe kama mchango wako katika jamii ulikotoka. Kama...
6 Reactions
22 Replies
820 Views
Nikiwa chumbani mitihani ya supplementary, nikakutana na rafiki yangu… ambaye siku zote alikuwa ananikufundisha! 😂 Nilihisi kama napaswa kumheshimu zaidi au kumtisha kidogo kwa maswali ya mtihani 😅
5 Reactions
12 Replies
978 Views
Hizi ni shukrani zangu za dhati kwa Dr am 4 real PhD kwa kunitumia sh 3000 ya kula na familia yangu leo jioni na natimiza ahadi yangu ya kumshukuru wazi wazi ambayo tulikubaliana kufanya hivi...
21 Reactions
169 Replies
5K Views
Wakuu, kama unajua ulitumia hivi vibatari, Punguza Sukari na mafuta.kisha Kumbuka kulala mapema. Muda umeenda sana saivi ni hekaheka tu huwezi mapambano tena ushakua mzee wa siku
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu ni kitu gani ambacho unajutia sana kukifanya maishani mwako. Kwa upande wangu najutia sana kusoma Bachelor moja kwa moja toka Advance badala ya kuanza diploma au certificate ningekuwa...
6 Reactions
83 Replies
3K Views
Uzi tayari Picha inajieleza
4 Reactions
11 Replies
888 Views
Mnawezaje kumtelekeza mtoto mdogo Shule ya awali mpaka msingi) shule ya boarding? Yaani na nafsi zinakuwa huru kabisa ?
13 Reactions
59 Replies
2K Views
SITARAJII KUOA Mbunge Wala Waziri Wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa Wala Katibu Tawala.Labda Kama kunizalia watoto au kunifariji kimahaba. DON NALIMISON, nitaoa Msanii mwenzangu ama Mwanamziki au...
20 Reactions
97 Replies
6K Views
Kuwa introvert ni asili ya mtu. Kama unataka ubadirishe mwenendo wako, Ni either upunguze mazoea na watu au kuji control kuongea sana ila kujifanya kuwa mkimya utandaa tatizo la afya ya akili...
5 Reactions
14 Replies
741 Views
NIMELIWA MILLION 2 KWENYE AVIATOR
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Wakuu! Hebu tupeane uzoefu kidogo Hivi kwenye ajira, waajiri huwa wanaangalia nini zaidi? wakati wa interview ya Kazi? ✅ CV yako ilivyoandikwa? ✅ Uzoefu wako kazini? ✅ Ufaulu/GPA yako? ✅Kipaji...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa kile kinachoelezwa kukwama tena kwenye mchujo wa kuwania ubunge Jimbo la Kongwa kupitia CCM ilivyozua gumzo, zikiwa zimepita siku chache tu baada ya kutoa kauli yake kuwa Yanga ilichangia...
2 Reactions
10 Replies
494 Views
4 Reactions
23 Replies
762 Views
https://youtube.com/shorts/ZE6JoCrTnxA?si=909EeGhifyHrywRl
5 Reactions
134 Replies
4K Views
Mm ni mtoto peke katika familia ya mama na mtoto mmoja ambae ni mimi Mama yangu ananambia ni mda wa mimi kwenda kurithi mikoba yake huko uchawini kwao Mm nimekataa ila amenitishia atanichukua...
6 Reactions
68 Replies
2K Views
CHAKUSHANGAZA Tukio hili lilitokea Januari 25, 1995 nchini Uingereza. Ni miaka 30 na miezi kadhsa sasa.. Eric Cantona alimpiga teke la flying kick shabiki aliyekuwa akitolea maneno machafu kila...
4 Reactions
6 Replies
409 Views
Back
Top Bottom