Genuine question, matusi sio uungwana.
Watu wanatumia akili zao, kipaji kuingiza hela.
Je kama unamuonekano mzuri, na unatake attention ya watu, unaeezaje kugeuza hiyo attention ya watu kua...
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂
Pale Hyatt ni hoteli lakin...
Kwa wale tuliowakosea Jan mpaka June 31, 2025
Tunaomba tusameheane
Samehe ili Mungu akusamehe
Usiponisamehe unafanya maisha yako kuwa magumu, na mimi niliyekukosea kurahisisha maisha ya baadaye...
Wakuu,
Maisha yamekuwa magumu sana, sio kwa wazee sio kwa vijana ni kila sehemu mambo yamebana
Zifuatazo ni dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha
1. Ukiingia chooni unajisahau...
Unakuta MTU anajiita 45 , ukifatilia huyu Ana anachojua anajua hata 45 yenyewe au ni nini au nikufatilia trending za kishamba.
Badala ya kufuatilia mambo ya msingi ya kuwainua kiuchumi wao...
Greetings wapendwa
Hii ni kutoka ndani ya moyo, kiukweli nimekumis mno Erickb52 beibe hata wanaokwenda vitani hawachelewi kiasi hicho.
Kila siku unasema utarudi nasubiri kuanzia asubuhi mpaka...
Ilove you Marry, ijapo kuwa wewe sio pua yangu lakini iko wazi bila wewe siwezi kupumua.
Siku ya ndoa yetu ikifika nitatinga kanzu ya babu, tutacheza rumba tarabu itakuwa pambe.
Na usiku ukifika...
Mimi ni miongoni wa wale wasiopokea namba ngeni tena kwenye simu yangu nime reject strange calls kama na wewe ni muumini wa hii slogan tupeane maujuzi maana sababu nyingi huwa ni madeni au...
Wakuu
Yaani kama unavaa suti alafu hufuati kanuni hizi basi ujue hapo umevaa kofi.
1. Usikimbie hovyo.
2. Usinyoe kiduku
3. Usitembee kwa mguu mda mrefu labda mita 2
4. Usipande toyo baskeli...
Someone's mother has four sons. North, South, East. What is the name of the fourth son. Reply in the comment section below the name of the fourth son?
Karibuni.
Reply zikifika kati ya 50...
Ukiwa na stress
Ukiwa low key
Ukiwa bored
Ukiwa free
Ukiwa off mood
Ukiwa na njaa
Ukiwa umeishiwa
Ukiwa na madeni🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Hata ukiwa umeachwa ana umenyimwa pitia Hulu JF happy hour tujenge afya ya...
May today be filled with smiles, laughter and love!
Karibuni wote mje kula cake mida ya saa moja jioni.
Siku ya leo napenda kumjua twin angu ndani ya jf, nimlishe cake who is s/he?
Happy...
cc bbade
Show me your jigga let me see (Let me see)
And let me see the woman that is with (That is with)
I put a couple thousand Dollars on your wrist (Put on your wrist right now)
Omo omo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.