Kama Unaweza Kudhani Najikomba kwa mods USHINDWE VIBAYA KWA JINA LANGU
Waswahili husema usione vyaelea vimeundwa na chanda chema huvikwa pete
hongereni sana kwa muundo mpya
niwe wazi kwamba na...
Mama mmoja mjamzito jirani yetu hapa alikaa jikoni na mtoto wake. Bahati mbaya akajisahau akakaa vibaya mtoto akaona m*vuzi akaropoka, "Mama safari hii utazaa dume." Mama yake akauliza, "Kwanini...
Kijana mmoja aliyefikia umri wa kubalehe alikuwa
analala chumba kimoja na
house girl. Chumbani kulikuwa
na kitanda cha double decker, kijana analala chini house girl
analala juu basi kijana kwa...
Wakati natoka mazoezini nimekutana na dada mmoja nikamsalimia, "Dada habari?" Akanijibu, "Unikome mi mke wa mtu." Nikamwambia, "Sawaa." Nikaondoka zangu hata sijafika mbali nikastuka yule dada...
Jana kulikuwa na sinema ya bure humu JF. Mkuu Simiyu Yetu aliweka bandiko lake kwenye Jukwaa la Siasa akidai kuwa yuko Arusha na ametafiti jambo. Ametafiti na kujua kuwa Lowassa hakubaliki Arusha...
Salaam wakuu...
JF ina majukwaa mengi, zaidi ya kumi. Hivi ni jukwaa gani haujawai hata siku moja kulifungua na hata kusoma post zake? Hapa namaanisha haulielewagi...
Heri ya mwaka mpya wanachichat wote.
Namshukuru sana Mungu kunifikisha hapa kwa sababu leo miaka dazani kadhaa iliyopita nilizaliwa.
Thanks God, today is my birthday!
Kwa wale WANAOJITEGEMEA na wamepanga Nyumba au chumba, hivi huwa unajisikiaje pale tarehe za kulipa kodi zinapokaribia na huna kitu mfukoni na ukifikiria mwenye nyumba ni BANDIDU, au hata kama...
Msamaha wa kweli unahitaji Neema ya Mungu. Sikiliza hii,
Kuna jamaa mmoja na Mkewe walikuwa wanasafiri kuelekea Italia kwa safari ya kibiashara kwa ndege. Wakiwa angani likatoka tangazo kwamba...
MADA
mkeo anarudi nyumbani kavimba vibaya!, unamuuliza anakujibu Kuwa kakutana Na vibaka wamemvamia, ila ukimcheki kila kitu chake karudi nacho, unapeleza unagundua kapigwa Na mchepuko wake...
Mama mpenda UMBEA alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa anajiuliza anakwenda kufanya nini?
Uzalendo ukamshinda akamuuliza "Mwenzangu, mbona kila...
Baada ya kuzamia Ulaya jamaa yangu mmoja kutoka Nyanda za juu kusini, kijiji chao kikiwa jirani kabisa na kijiji chetu, hatimae akawa anaishi Uswisi. Lakini maisha yake yalikuwa ya kujifichaficha...
Habari humu,
Mi ni mzima tu, jf sasa imekuwa maarufu na yenye manufaa sana tena zaid sana imekuwa sehemu muhimu ya kuondoa msongo wa mawazo, ila usipokuwa makini unaweza kutoka huku umekasirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.