'Akina dada acheni dharau.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
May 24, 2013
3,564
1,989
Wakati natoka mazoezini nimekutana na dada mmoja nikamsalimia, "Dada habari?" Akanijibu, "Unikome mi mke wa mtu." Nikamwambia, "Sawaa." Nikaondoka zangu hata sijafika mbali nikastuka yule dada kanishika bega eti, "Kaka samahani hujani okotea pochi langu?" Ase kidogo nimchape makofi, lakini nikamuacha!
 
Back
Top Bottom