JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Mkuu wa Idara ya habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bw. Gervas Lyenda ni amesema Chama chake kipo tayari kushiriki kwenye mchakato wa maridhiano ili kuhakikisha Tanzania inakuwa na amani na utulivu wa kisiasa wa kudumu. Lyenda amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano na chombo kimoja cha habari Jijini Dar Es Salaam, suala ambalo limepokelewa kwa maoni mseto na baadhi ya Wananchi wakiwemo wanachama wa Chadema na baadhi ya wachambuzi wa siasa, wengi wakiunga mkono kauli hiyo kwa maslahi ya Umma na umoja wa Kitaifa. "Hiki alichokisema Bwana Lyenda kando ya kwenda kinyume na baadhi ya Viongozi wake wakuu ni suala linalotakiwa kuungwa mkono, ni kitendo cha kikomavu katika siasa na demokrasia kinachopaswa kuungwa mkono na...
Mzee amenena maneno ya makufuru dhidi ya mpigania haki Lisu ambaye wmezuiliwa gerezani bila kosa lolote. Leo mzee Wasira ameropoka na kusema wanamzuia kwakuwa hataki maridhiano. Soma mwenyewe hapa chini. "Tunapozungumzia maridhiani tunamaanisha Makubaliano ya kitaifa, kiutendaji na amani ya kudumu, sasa wewe ukikataa inaonyesha siyo mtu mzuri kwetu na kwenye taifa ni hatari. Kwaiyo hupaswi kuwa huru, utakaa chini ya uangalizi milele"- Amesema Wasira
Wakuu nimekutana na Taarifa huko mtandaoni inayoeleza kuwa; "=AZYgKkVELthfF2or8cz9hZgtDA2u2RiBdMfdI8maVSNICA04cSYXXbdXRplfrWQvl_7jXQwbtQeqJ-AHtoRziO5eE5VYJ6t4oaVOH482QFJ6S9hWcWKyFVkANFBRfLwvaufqlpK135He2ochFj0XJkUCngvoo0g2yoYg_jBY6fBEDX62nxo0jsmwKYNFNTfLS8Y1EhB4LKO4uYtMX6BoU9IN&tn=*NK-R']#Kesi inayoikabili Tanzania juu ya mauwaji ya halaiki, rasmi ilianza kusikilizwa kwanzia tarehe 19 January ,na mpaka leo 21 January ambapo muafaka wa majibu yote umetolewa chini ya majaji wa 4 kuhusu swala la Hukumu hiyo, ambapo kila kitu pamoja na ushahidi umeonyesha kuwa ni kweli kila kila kitu kilichotokea siku iyo ya October 19. Nukuu: kila yoyote aliye husika katika mauwaji ya halaiki lazima sheria itafata utaratibu mpaka kumkamata lasi hivyo...
Wakuu nimekutana na hii Post huko Facebook ikiwa na ujumbe huu pamoja na picha. Sasa mbona hii ajali hamtangazi na imetokea toka jana jioni! Tuseme mpaka sisi =AZYt0Ko_YeQABm-UfKFlVaJiSFfPv2-dz9JJOfvsFfiCdTxwxaG4sSc1JmEJIr7Rq-xAaPI4hZ4BvuAxeYlo01Z6HvXxSii3oY68FUnRQrBG8ot7pOiMtSjJdi9C_K1olnVWaTJgp0Z59fPZzX93h8H7ev0hCvsIMZc4fAzTZjjJCA&tn=*NK-R']#KigogoMedia tutangaze ndio nanyie mtatangaza?mtu kateuliwa juzi akaanza na kaul za kutisha watu sasa aendelee kutisha watu. Msipotangaza mpaka saa 7 mchana nitakuja hadharani na taarifa yote.
Kumekuwepo na video ambayo inasambaa kwenye mitandao wa facebook pamoja tiktok ikielezea kuhusu matumizi ya alama yenye nembo 50 na matumzi yake katika barabara. Kwa kutumia ufuatiliaji kupitia account rasmi ya RAS Tanzania (Taasisi ya Mabalozi wa Usalama Barabarani Tanzania (Tanzani Road Safety Ambassadors) inaelezea kuwa ni kwamba hapo ni miwsho wa spidi 50 kutoka hapo dereva anatakiwa kuongeza mwendo kadiri atakavyohitaji
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…