JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Salaam ndugu zangu, Nimekutana na video fupi ikionesha Rais wa TFF Wallace Karia akisema kwamba itakuwa si vizuri kwa Yanga kwenda na ndege ya Rais baada ya kupoteza mchezo. Je, kuna ukweli wowote wa juu ya hili? Tusaidieni kumhoji Picha1: Sehemu ya Tweet inayomlaumu Rais Karia kwa kauli aliyotoa Picha2: Sehemu ya Ujumbe wa Instagram ukimlaumu Rais Karia kwa kauli aliyotoa Picha3: Sehemu ya ujumbe wa Ali Kamwe akikanusha uvumi unaoenea dhidi ya Rais wa TFF Video namba 1 Video namba 2 Video namba 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…