JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Tunachokijua Claim A Social media post claims that former Parliament Director of Communications and Public Affairs Chris Obore threatened to commit suicide from Luzira Prison after the Inspector General of Government (IGG) ordered his interdiction. The post further alleges that Obore said the disputed Corporate Social Responsibility (CSR) funds belonged to former Speaker Anita Annet Among and that he was being selectively prosecuted while she remained free. What We Know The claim is false and is not supported by credible evidence. Jamiicheck Found the following; It is true that: • Chris Obore and several other senior Parliament officials are facing charges of embezzlement, causing financial loss and money laundering over the alleged...
kumekuwepo na chapisho ambalo linasamambazwa na moja ya ukurasa wa facebook likidai kuwa Inawezekana unatafuta dhahabu machimboni au madukani, lakini ukweli ni kwamba tayari unatembea ukiwa na dhahabu mwilini mwako! Katika chapisho hilo wamedai kuwa Wanasayansi wamethibitisha kuwa ndani ya mwili wa binadamu kuna wastani wa miligramu 0.2 za dhahabu safi. Madini haya ya thamani yanapatikana ndani ya damu yetu yakifanya kazi zake za kibaolojia. Sambamaba na hilo kumekuwepo na madai kuwa Hii ni dhihirisho tosha kuwa kila mmoja wetu ameumbwa akiwa na thamani kubwa tangu awali. Hivyo basi, thamani yako haitokani na kile unachomiliki kwa nje, bali kile kilichopo ndani yako!
Tunachokijua Claim A Circulating post by Mawejje Media (Mawejje TV) claims that Gen. Muhoozi Kainerugaba questioned why Mulago National Referral Hospital, a government facility, charges parking fees, allegedly citing rates of UGX 1,000 for bicycles, UGX 3,000 for motorcycles, and UGX 10,000 for vehicles. The post attributes the statement to the CDF What We Know •Our review found no evidence that Gen. Muhoozi Kainerugaba made the statement. -The quote appears only on Mawejje TV Facebook & Tiktok posts published on 31 July 2026. -There is no corresponding post on Gen. Muhoozi Kainerugaba's verified social media accounts, including his official X account @mkeinerugaba •No official statement, speech, press release, or interview...
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram, likidai kuwa Hashim Rungwe amefichua siri kwamba viongozi wa vyama vya siasa walilipwa fedha ili kushiriki kikao kilichoitishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan. Chapisho hilo limeambatanishwa na kipande cha video kilichokatwa, kinachomuonesha Hashim Rungwe akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Star TV. Chapisho hilo lilianza kusambazwa mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya kikao maalumu na viongozi wa vyama vya siasa nchini kilichofanyika Ikulu, Dar es Salaam. Hata hivyo, ufuatiliaji uliofanywa kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya mtandaoni umebaini kuwa baada...
Inadaiwa kuwa Kalonzo Musyoka amefanya kikao cha siri leo na Rais William Ruto mjini Narok, ambapo walifikia makubaliano ya kushirikiana kabla ya uchaguzi. Haya yanajiri huku kukiwa na uvumi kwamba upinzani unampendelea Edwin Sifuna kuwa mgombea wao wa urais, akisaidiwa na mgombea mwenza kutoka Mlima Kenya, ambaye inadaiwa ni Kiharu MP Ndindi Nyoro. Kwa mujibu wa madai hayo, Kalonzo hayuko tayari kuwa mgombea mwenza na badala yake anapendelea kumuunga mkono Ruto, ambaye inadaiwa tayari alimuahidi kumuunga mkono mwaka 2032. Kabla ya hapo, baada ya uchaguzi wa 2027, Kalonzo anadaiwa kuahidiwa nafasi ya kupendekeza Mawaziri (CSs) watano na Makatibu Wakuu (PSs) 13. Madai hayo pia yanasema kuwa Kalonzo ameagizwa kuendelea kujionyesha kama...
Tunachokijua (What we know). On Saturday, July 25, 2026, Uganda held its inaugural National Cleaning Day, a civic initiative aimed at promoting public health, sanitation, and environmental responsibility. The programme was announced by Prime Minister Robinah Nabbanja following Cabinet approval in August 2025, and it was championed by President Yoweri Museveni, who emphasized the importance of collective action in keeping Uganda clean. The official launch was presided over by Vice President Jessica Alupo, representing the President at the national event. The exercise, conducted under the theme “A Clean Uganda is Everybody’s Responsibility,” took place from 7:00 a.m. to 10:00 a.m. Claim: A post circulating on social media, shared by...
Image 1: Digitally altered Image 2: Real incident Tunachokijua Claim A viral social media post by @goodhe4rted claims Rwandan President Paul Kagame is coaching Uganda's Gen. Muhoozi Kainerugaba to "show no mercy," continue abducting and eliminating opponents of him or President Museveni, and eventually place Uganda under Rwandan control once Muhoozi becomes president. The post uses an imagery video to support the allegation👇 What we know •Gen. Muhoozi Kainerugaba met Rwandan President Paul Kagame in Kigali on July 25–26, 2026. Public statements from both sides indicate the meeting focused on strengthening bilateral relations, regional peace, security and stability. The visit also included public activities such as a basketball...
Claim An X post by @kampalaJournal claims that Uganda Human Rights Commission (UHRC) Commissioner Chrispin Kaheru fraudulently acquired a brand-new Toyota Land Cruiser V8 and gifted it to one of his concubines, citing a supposed report by Parliament's Committee on Commissions, Statutory Authorities and State Enterprises (COSASE) Chaired by Hon: Muwanda Nkunyinji. What we know •The Uganda Human Rights Commission Official X account has publicly denied the claim, stating that no COSASE report contains such findings. The Commission said the allegation is false and noted that the Auditor General's 2025 report instead highlighted the need to replace UHRC's aging vehicle fleet. • When Jamiicheck analysed the matter further, we found that...
Katika siku za hivi karibuni, baada ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, kuzungumzia suala la Katiba Mpya, kumekuwa na usambazaji wa picha zenye maandishi (graphics) kwenye mitandao ya kijamii zikimdai Benson Bagonza amesema: "Nchimbi ni CCM anaongelea akiwa mbele ya sufuria ya nyama, kwamba tupambanie chakula. Jiuzulu tukuamini." Ufuatiliaji wa taarifa hii umebaini kuwa hakuna ushahidi unaoonyesha kuwa Askofu Dkt. Benson Bagonza aliwahi kutoa kauli hiyo katika mahojiano yoyote ya hivi karibuni au kupitia majukwaa yake rasmi. Badala yake, mahojiano yake ya karibu zaidi yalifanyika kupitia Radio Sauti FM, ambapo alijadili kauli ya Makamu wa Rais kuhusu Katiba Mpya. Katika mahojiano hayo, Bagonza...
The International Monetary Fund (IMF) has retracted a previous statement claiming that Special Drawing Rights (SDRs) amounting to $443.9 million had been allocated to Tanzania. The communication, originally said to be dated July 10, was officially withdrawn by the IMF. Officials confirmed there are currently no plans for an alternative announcement regarding this disbursement or any new allocation for Tanzania. This development comes amid global scrutiny over financial disbursements to developing nations, as the IMF aims to maintain transparency and accountability in its fiscal operations. Source: Devdiscourse For Swahili viewers. IMF yaondoa taarifa kuhusu mkopo wa dola milioni 443.9 kwa Tanzania. Shirika la Fedha la Kimataifa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…