JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

"HOTUBA YA DONALD TRUMP KUHUSU KWA NINI ANAWACHUKIA WAAFRIKA NA WAARABU". Hatulazimiki, hata kwa sekunde moja, kujaribu kuthibitisha kwa mtu yeyote na hasa kwa weusi na Waarabu kwamba sisi ni watu bora zaidi - tumedhihirisha hilo kwa weusi na Waarabu kwa njia 1001. Marekani tunayoijua leo haikuundwa na matamanio.Tuliiumba kwa gharama ya akili, jasho na damu.....hatujifanyi kama wazungu wengine kwamba tunawapenda weusi - Lazima tukubali, bila yoyote. hofu, kwamba hatuwapendi, na kwa hivyo, kwa hivyo, sababu nyingi halali. Ukweli kwamba weusi na Waarabu wanafanana na binadamu si lazima kuwafanya kuwa binadamu wenye akili timamu. hedgehogs sio nungu na mijusi sio mamba kwa sababu wanafanana. kama Mungu angetutaka tuwe sawa na weusi na...
Kando ya barabara ya Iringa - Mbeya maeneo ya Njia panda ya Mlolo kuna Kaburi la mtu aliyekuwa maarufu katika fani ya Uganga wa jadi mkoani Iringa na alifahamika kama Mzee Martin Kiyeyeu. Inaelezwa mzee huyu alifariki mwaka 1974 na kuzikwa lakini muonekano wa Kaburi hilo ni kama alizikwa hivi karibuni. Inaelezwa baada ya kufariki, Mganga huyo alizikwa kwa kufuata taratibu na mira za Machifu ambapo alizikwa kwa kusindikizwa na mtu aliye hai, aliyejitolea kuzikwa naye akiwa hai ili kumsindikiza, ambapo inadaiwa mtu huyo alikaa na kumpakata Mganga huyo aliyezikwa huku akiwa amekaa. Kaburi la Mganga Martin Kiyeyeu na nyanya za umeme zilizohamishwa upande Inadaiwa kumekuwa na maajabu mengi yanayotokana na Kaburi hili ila moja maarufu ni...
Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, ameisifu Katiba ya mwaka 1977 huku akitoa rai kwa vyama vya upinzani, hususan Chadema, kuheshimu na kushiriki kikamilifu kwenye chaguzi kwa mujibu wa Katiba iliyopo. Padri Kitima alieleza kuwa, licha ya kuwepo mijadala kuhusu katiba mpya, Katiba ya sasa bado ina uwezo wa kuhakikisha uwazi na ushiriki wa kila mtu katika siasa. “Katiba hii imerekebishwa mara kadhaa na bado inatosha kutuongoza kushiriki siasa kwa ufanisi. Muhimu ni kuielewa na kuzingatia ili kuimarisha demokrasia yetu,” alisema. Aidha, alisisitiza kuwa msingi wa Katiba hiyo uliwekwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. “Hii ni Katiba nzuri iliyoundwa na Nyerere, mtu wa Mungu. Msisitizo...
Back
Top Bottom