JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

ALIYEMWAGIWA TINDIKALI NA CHADEMA AFUNGUKA: "Nilikuwa Naitumikia CHADEMA kwa Uaminifu, Sikuamini Wangeniua Kwa Machungu Ya Ndani" Dar es Salaam, Tanzania – Juni 17, 2025 Katika kile kinachoonekana kuwa sura nyingine ya giza ndani ya chama cha upinzani CHADEMA, kijana aliyekuwa mshabiki na mtendaji wa harakati za chama hicho, ameibuka hadharani na kufunguka kwa uchungu mkubwa baada ya kumwagiwa tindikali na watu wanaodaiwa kuwa ni wanachama watiifu wa chama hicho. Akizungumza akiwa kitandani hospitali ya Taifa Muhimbili, kijana huyo ambaye kwa sasa anahifadhiwa kwa uangalizi maalum kutokana na majeraha mabaya aliyoyapata, alisema: Kwa mujibu wa vyanzo vya karibu na tukio hilo, kijana huyo alikuwa ameanza kuuliza maswali kuhusu fedha...
kumekuwa na chapisho linalo samba kwenye mitandao ya kijamii hususani facebook linaeleza kuwa Mwanaharakati Maria Sarungi amekamtwa na jeshi la polisi nchini kenya huku ikieleza kuwa taarifa hiyo imechapishwa na godbless Lema huku x pia chombo cha Habari cha Jambo tv kuchapisha huko X Taarifa hizo sio sahihi kwani hazina uhalisia wowote na hazijachapishwa sehemu yoyote ile.
Back
Top Bottom