JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Watu wengine wanaamini kwamba ukinywa soda nyeusi (cola), kuchemsha majani ya chai mengi kisha uyanywe au energy drink mara baada ya tendo la ndoa, mbegu za kiume hufa tumboni na hivyo mimba inazuilika. Nilishangaa zaidi kuwa kuna mtaalamu wa afya pia aliwahi kueleze kuhusu hii ishu. Sikumuamini na nashindwa kuelewa "how this works" Lakini pia watu wamekuwa wakidanganyana kuhusu kunywa maji mengi, majivu, maji baridi na hata kuruka sarakasi au kunawa kunaweza kuzuia ujauzito. Je kuna ukweli wowote
Habari wakuu, Kama kweli ni kauli ya Maria Sarungi simuuungi mkono Naona Maria Sarungi katema cheche huku akidai Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche pmoja na Jonathan Lema kuwa uongozi wao wa Mabavu umeua CHADEMA ilhali tangu CHADEMA ikumbwe na matatizo ya kisiasa ya kufungiwa kufanya shughuli za kisiasa na Mwenyekiti wao Tundu Lissu kukabiiwa na mashtaka mbalimbali ikiwemo uhaini, hawa watu wawili wamekuwa wakionekana kusimama imara na kutetea maslahi ya CHADEMA na kuendelea kukemea matukio ya ajabu yanayoendelea nchini
Back
Top Bottom