Inasemekana uwepo wa Makonda kwenye timu hiyo umesababisha chuki kubwa ya wananchi lkwa Timu ya Taifa lao, Huyu mtu ana gundu jamani!
Wengi wanaiombea Stars ipigwe mechi zote! Wengine wanaomba...
HII INAWEZEKANA NI REKODI MPYA.
Mimi inawezekana ni mara yangu ya kwanza kuona Taifa Stars ikimaliza mchezo dakika zote tisini bila mchezaji yeyote wa Simba kushiriki.
Hii pia inatakiwa viongozi...
Hans Rafael ni tapeli anayetumia kipaza sauti cha redio.
Kila siku anaaminisha watu kuwa Doumbia ni mchezaji bora kumzidi Aziz Ki.
Mpira ni mchezo wa wazi, Doumbia hana maajab hayo. Tunaojua...
Leo saa 1:00 usiku tuna mechi ngumu dhidi ya Tunisia aliyetoka kufungwa na Nigeria, hii ndo game iliyoshika hatima yetu ya kufuzu 16 Bora
Japo ushindi wa Leo unaweza kutufanikisha katika best...
Waliitisha press, wakasema kombe la mapinduzi kuanzia Sasa ni la kimataifa, wakimanisha zitakazo shindana ni nchi na nchi, sio klabu za kawaida.
Tukasema sawa, akaitwa Burkina Faso, Uganda...
🔥🔥ℍ𝕆𝕋 𝔼𝕏ℂ𝕃𝕌𝕊𝕀𝕍𝔼 🔥🔥
NTYUKA DRAFT CLUB
Present to you
THE NATIONAL HEAVYWEIGHT END OF THE YEAR CHAMPIONSHIP CLASH
(Tunafunga mwaka kwa mpambano wa kiwango cha Kitaifa)
TIMU: DOGO...
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ipo uwanjani ikikipiga na Uganda katika mchezo wa Kombe la Afrika (AFCON) hadi mapumziko mchezo huo hakuna mbabe.
Matokeo bado ni 0-0.
Vijana wetu...
Ila waTanzania hua tunapenda kudanganywa na kusifia ujinga ujinga.
Nikweli mchezo wa ndondi ni taaluma kama ilivyo taaluma zingine na ninaheshimu mabondia na taaluma Yao ya ndondi.
Lakini ukweli...
Mshambuliaji wa Timu ya Tanzania “Taifa Stars”, Simon Happygod Msuva ameifikia rekodi ya Mrisho Ngassa ya kufunga Magoli 25 katika timu hiyo na hivyo kuwa wachezaji waliofunga Magoli mengi ngazi...
Kuelekea mechi kati ya Timu ya ya Taifa ya wanaume (Taifa Stars), Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda amesema amepigiwa simu na Watanzania mbalimbali ambao wameahidi...
Chama cha soka cha Misri kimemteua mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya nchi hiyo kuwa kocha mpya wa timu hiyo
Hii ni katika kujipanga upya baada ya kuboronga kwenye michuano ya Afcon
Timu zikishinda sifa huwa kwa Samia kwahiyo matokeo ya jana ni mali ya Samia Suluhu Hassan.
Wanaijeria wamempapasa na kumpiga viwili.
cc
Abduli, Mafwele na Muliro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.