Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Leo ni siku ya mchezo wa mwisho wa kundi la AFCON, mjadala mkubwa haupo tena uwanjani bali pia kwenye vyombo vya habari. Leo asubuhi baadhi ya waandishi wa Clouds FM wamejikuta wakilaumiwa kwa...
4 Reactions
17 Replies
703 Views
Man City leo hamtoki kwa Sunderland na Liverpool mtashangazwa na Leeds United hapo Anfield. Mtamjua Calvert Lewin ni nani leo?
5 Reactions
57 Replies
1K Views
Nauliza waungwana kati ya Angola na Tanzania ipi itafuzu kama best looser? Tanzania imefugwa magoli 4 na kushinda 3, wakati Angola imefungwa magoli 3 na kushinda 2. Wote tuna points 2...
4 Reactions
72 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/shorts/m063Pt4Kvy4?feature=share
0 Reactions
8 Replies
264 Views
Kocha huyo raia wa Italia alikuwa amechukua mikoba ya uongozi miezi 18 iliyopita.Uamuzi huo umefikiwa huku klabu bado ikishiriki mashindano manne, lakini ikipambana kupata uthabiti kwenye ligi...
1 Reactions
5 Replies
671 Views
Naibu waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Paul Makonda leo Januari 03, 2026 ameitembelea kambi ya Taifa Stars kuelekea mechi ya 16 bora ya AFCON 2025 dhidi ya mwenyeji Morocco.
0 Reactions
1 Replies
243 Views
Kwakweli sijapenda.. Sijafurahishwa kabisa.. Tumeshaanza kuona Samuya akipewa sifa zote.. Tayari utasikia mama this mama that.. Huyo Bashite ndio balaa atajisifu kama nini. Kifupi CCM...
8 Reactions
29 Replies
663 Views
Nafurahi kuwa shabiki wa Hassan Mwakinyo akiwa ulingoni. Huwa hakubali kushindwa kirahisi rahisi iwe ulingoni ama nje ya ulingo. Mungu aniepushe nisije kuingia kwenye 18 za mdigo yeyote nikasutwa🤣🤣
3 Reactions
3 Replies
226 Views
Namba huwa hazidanganyi. Jonathan Sowah ni mshambuliaji wa kati bora. Akiwa katika Ligi ya Ghana mwaka 2023, alicheza mechi 28 na kufunga mabao 16 na kutoa assisti moja (1). Nchini Ghana alikua...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Uganda wamewabadilisha uraia wachezaji 2 mmoja toka ghana na mmoja toka nigeria,na imewalipa kwani goli la kusawazisha kafunga mnigeria ikpeazu, aliyepewa uraia wa uganda.Nasi tuige hiyo mbinu
5 Reactions
23 Replies
692 Views
Naomba wawekezaji wazoefu mnisaidie kampuni bora kwa sasa ya betting Tanzania. Uniambie na sababu.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
years of existence, Azam FC has become an envy of other Tanzania Mainland Premier League clubs. And born in 2007 also join VPL(Vodacom Premier League) Tanzania Mainland Premier League in season of...
10 Reactions
2K Replies
194K Views
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa mwisho wa Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika katika...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
Ukitizama michuano ya AFCON unapata ladha ya soka la Ulaya kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya wachezaji na team wanazochezea Ulaya. Mfano kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chote kinacheza soka...
4 Reactions
14 Replies
514 Views
Thank You, Moussa Balla Conte
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Hongera Samia kwa kuwezesha Taifa Stars kufuzu mpambano wa ubingwa wa soka Afrika. Bila uwezo wako wa ajabu wa kutenda miujiza, haya yangetokeaje? Nakushukuru sana rais. Hawa Taifa Stars...
6 Reactions
26 Replies
690 Views
Dirisha Dogo la Usajili kwa Klabu za Ligi Kuu ya NBC (NBCL), NBC Championship League (NBCCL), First League (FL) na Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) msimu wa 2025/2026 limefunguliwa leo Alhamis Januari...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana Yanga wengi walifurahia sana mwenendo wa timu kipindi cha Master Gamondi na chini yake ndiyo timu nyingi zilichezea kipigo cha 5 including timu yako. Tatizo lilianza kwenye tamasha la Cheka...
10 Reactions
10 Replies
873 Views
Back
Top Bottom