Leo ni siku ya mchezo wa mwisho wa kundi la AFCON, mjadala mkubwa haupo tena uwanjani bali pia kwenye vyombo vya habari. Leo asubuhi baadhi ya waandishi wa Clouds FM wamejikuta wakilaumiwa kwa...
Nauliza waungwana kati ya Angola na Tanzania ipi itafuzu kama best looser?
Tanzania imefugwa magoli 4 na kushinda 3, wakati Angola imefungwa magoli 3 na kushinda 2. Wote tuna points 2...
Kocha huyo raia wa Italia alikuwa amechukua mikoba ya uongozi miezi 18 iliyopita.Uamuzi huo umefikiwa huku klabu bado ikishiriki mashindano manne, lakini ikipambana kupata uthabiti kwenye ligi...
Naibu waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Paul Makonda leo Januari 03, 2026 ameitembelea kambi ya Taifa Stars kuelekea mechi ya 16 bora ya AFCON 2025 dhidi ya mwenyeji Morocco.
Kwakweli sijapenda..
Sijafurahishwa kabisa..
Tumeshaanza kuona Samuya akipewa sifa zote..
Tayari utasikia mama this mama that..
Huyo Bashite ndio balaa atajisifu kama nini.
Kifupi CCM...
Nafurahi kuwa shabiki wa Hassan Mwakinyo akiwa ulingoni.
Huwa hakubali kushindwa kirahisi rahisi iwe ulingoni ama nje ya ulingo.
Mungu aniepushe nisije kuingia kwenye 18 za mdigo yeyote nikasutwa🤣🤣
Namba huwa hazidanganyi. Jonathan Sowah ni mshambuliaji wa kati bora. Akiwa katika Ligi ya Ghana mwaka 2023, alicheza mechi 28 na kufunga mabao 16 na kutoa assisti moja (1).
Nchini Ghana alikua...
Uganda wamewabadilisha uraia wachezaji 2 mmoja toka ghana na mmoja toka nigeria,na imewalipa kwani goli la kusawazisha kafunga mnigeria ikpeazu, aliyepewa uraia wa uganda.Nasi tuige hiyo mbinu
years of existence, Azam FC has become an envy of other Tanzania Mainland Premier League clubs.
And born in 2007 also join VPL(Vodacom Premier League) Tanzania Mainland Premier League in season of...
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa mwisho wa Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika katika...
Ukitizama michuano ya AFCON unapata ladha ya soka la Ulaya kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya wachezaji na team wanazochezea Ulaya.
Mfano kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chote kinacheza soka...
Hongera Samia kwa kuwezesha Taifa Stars kufuzu mpambano wa ubingwa wa soka Afrika.
Bila uwezo wako wa ajabu wa kutenda miujiza, haya yangetokeaje? Nakushukuru sana rais.
Hawa Taifa Stars...
Dirisha Dogo la Usajili kwa Klabu za Ligi Kuu ya NBC (NBCL), NBC Championship League (NBCCL), First League (FL) na Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) msimu wa 2025/2026 limefunguliwa leo Alhamis Januari...
Wana Yanga wengi walifurahia sana mwenendo wa timu kipindi cha Master Gamondi na chini yake ndiyo timu nyingi zilichezea kipigo cha 5 including timu yako.
Tatizo lilianza kwenye tamasha la Cheka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.