Hatumdai mbwana Samata

Hatumdai mbwana Samata

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,581
Reaction score
9,085
Kila alichomjaalia Mola kakitoa kwa nchi yake.Hatumdai kitu,japo hatujawahi kuwa mabingwa wa Afrika.Asante sana Samata,sasa pumzika ni muda wa vijana
 
Chikola angeaminiwa na kupewa nafasi angeonyesha kitu. Ifikie hatua haya mambo ya kuamini bila huyu au yule timu haiwezi kusonga, tuyaache.
 
Back
Top Bottom