Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wakati msafara wa timu ya Simba SC ukiingia uwanjani majira ya Saa 8:30 Mchana wa leo Aprili 9, 2026 kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kuna hali...
3 Reactions
7 Replies
480 Views
Taarifa zinazozunguka ndani ya Jiji la Mwanza na wadau wa soka mkoani Mwanza zinaibua maswali mazito kuhusu mwenendo wa uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji FC, hususan katika eneo la matumizi ya...
1 Reactions
3 Replies
365 Views
Usiku wa leo, Aprili 8, burudani kutoka UEFA Champions League inaendelea 🔥 Mashabiki wa soka duniani wanasubiri kwa hamu mechi hizi kali: FC Barcelona 🆚 Atlético Madrid Paris Saint-Germain 🆚...
3 Reactions
10 Replies
362 Views
Leo Aprili 8, 2026, mashabiki wa soka nchini wanatarajia kushuhudia pambano kubwa la kusisimua kati ya Pamba Jiji FC na Yanga SC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo huu utapigwa katika...
2 Reactions
17 Replies
723 Views
Shauri la Simba SC dhidi ya Damaro na Yanga SC limesikilizwa Aprili 2, 2026 katika Ofisi za TFF, Karume Ilala Jijini Dar es Salaam, ambapo Mwanasheria wa Klabu ya Simba, HOSEA CHAMBA amesema...
3 Reactions
17 Replies
767 Views
Kufuatia kufanya vizuri kwa Arsenal msimu huu , maana yake ni moja kwa moja timu itakayomaliza nafasi ya 5 itacheza UEFA msimu ujao Top 10: 1️⃣ Arsenal – 70 points 2️⃣ Man. City – 61 points 3️⃣...
4 Reactions
2 Replies
306 Views
We pambana pambana tu, mishe huzaa mishe nyingine kukuletea mishe nyigine kutoka katika mishe nyingine.
31 Reactions
72 Replies
4K Views
Wakuu mchuano wa world cup unavutia unapoona iran anakipiga jirani na nchi hasimu si mchezo
2 Reactions
3 Replies
243 Views
Usiku wa leo mashabiki wa soka duniani wanakutana kwenye burudani ya hali ya juu ya Klabu Bingwa Ulaya Real Madrid 🆚 Bayern Munich Sporting CP 🆚 Arsenal Je, nani ataweka mguu mmoja nusu fainali? 🤔
4 Reactions
8 Replies
328 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nilishasema Sana Humu jukwaani na kula sehemu hapa Nchini kuwa Rais Samia ni Chaguo la Mungu Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu na kuwekwa Hapo Alipo kwa kibali maalumu cha...
3 Reactions
29 Replies
909 Views
Mbio za kuendelea kuifukuzia Yanga katika nafasi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara zimeendelea kuwa ngumu kwa Azam FC na Simba baada ya timu hizo kugawana pointi moja kila upande kutokana na matokeo ya...
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu huu uwanja hauwezi kukamilika sababu ni hizi 1)Kiwanja kipo maporini sana italazimika waanze kujenga miundombinu kama mabarabara , hospital , maduka n.k 2)Bajeti kubwa ya...
14 Reactions
71 Replies
2K Views
Timu ilianza kwa kas ikishinda mechi mbili mfululizo kwa kuwabonda wakenya na wasouth afrika Baada ya kuona hvyo wanasiasa wakaanza kujitokeza ili kutafuta umaarufu wa kisiasa wenyewe sijui...
10 Reactions
13 Replies
519 Views
In Sport betting, early payouts mean a bookmaker settles your bet as a win before the event is officially over—usually because your selection is in a strong position. For example: In football...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Victor Wanyama, ametangaza kustaafu soka la ushindani, baada ya kucheza vilabu sita vya kimataifa, ikiwemo Southampton, Tottenham...
3 Reactions
6 Replies
422 Views
Yanga imefanikiwa kuichakaza Tanzania Prisons Magoli 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam, hivyo Yanga imeendelea kuongoza kwa kuwa na alama 41 katika...
3 Reactions
6 Replies
437 Views
  • Featured
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) linaripotiwa kufikiria kuahirisha michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 hadi 2028 kutokana na wasiwasi wa utayari wa miundombinu na marekebisho...
10 Reactions
85 Replies
3K Views
Waziri wa michezo bwana Paul Makonda amesema kuwa kuanzia mwakani ataanzisha ligi ya wachezaji wa ndani tu kama ilivyokuwa michuano ya Afrika (CHAN) iliyohusisha wachezaji wanaocheza ndani ya...
9 Reactions
86 Replies
2K Views
  • Featured
Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imetangaza kuwa itatoa uamuzi wa rufaa ya Senegal "haraka iwezekanavyo" kufuatia hatua ya nchi hiyo kupinga kuvuliwa taji la Mataifa ya Afrika (AFCON)...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Timu ya kikapu ya Dar City inaendelea kufanya vyema huko Pretoria Afrika kusini katika mashindano ya kikapu Afrika Ukanda wa Kalahari. Timu hiyo imeshinda mchezo wake wa pili mfululizo kwa...
4 Reactions
31 Replies
726 Views
Back
Top Bottom