Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Leo mida ya saa 11 jioni, viwanja vya Wembley London, manguli wawili Chelsea na Manchester City wanakutana katika fainali za FA cup. Tukutane hapa kwa live updates!
2 Reactions
7 Replies
124 Views
Arsenal wanazindua jezi mpya ya nyumbani ya msimu wa 2026–27 kabla ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Champions League final.
1 Reactions
8 Replies
406 Views
Nilikuwa namtetea sana Mangungu kwamba hana uwezo sababu katiba haimpi nguvu. Baada ya marekebisho ya katiba amekaa kimya na kuqcha bodi ambayo haitambuliki iendelee kufanya maamuzi ikiwemo...
3 Reactions
6 Replies
252 Views
Asee watu wangu wa nguvu wapenzi wa mpira kuna bonge la mechi yani nail biting usipime. Timu mbili kubwa kwenye league kuu ya mpira Bangladesh Khelaghar Samaj Kalyan Samiti VS Dhaka Rangers Fc...
1 Reactions
15 Replies
328 Views
Nitalia arsenal atapo beba ubingwa, hakika hii ni kubwa kuliko, funzo kubwa kwenye maisha linatolewa na arsenal, mara ya mwisho kubeba ubingwa wa epl nadhani ilikua 2003/2004. Ni miaka 22 imepita...
7 Reactions
13 Replies
425 Views
Wale mnaobeti Mechi ya Kigoma leo wekeni katika Sare ya Magoli au isiyo na Magoli (Suluhu) au Simba SC inafungwa na Mashujaa FC. Kuna Watu wanadhani kwakuwa Kocha Julio ni Mwanetu basi...
2 Reactions
13 Replies
344 Views
  • Redirect
Yap Yap ni Leo, Mei 14 2026 Simba ndani ya Msitu mzito wa Sokwe Aina ya Mashujaa FC, Mashujaa wamejiapiza kuikaanga Simba siku ya leo huku Simba wakiweka wazi kuwa kilichowapeleka Kigoma ni alama...
1 Reactions
Replies
Views
Mpaka sasa hv mtani miguu imekosa nguvu ya kuamka..kalainika vibaya sana!!!! Salamu zimfikie ngara (NALIA NGWENA)
1 Reactions
1 Replies
122 Views
Siku zingine muwe mnakosoa kabla ya Mechi kuchezwa na siyo kusubiria Vipigo ndipo mje Kukosoa ili kutafuta Sifa na kujifanya mnayajua mengi yanayoendelea. Kufa ni kufa tu. Mlipeni Mganga wenu!!!!!
1 Reactions
1 Replies
169 Views
Kuna wakati kulikuwa na ubishi nani mkali kati ya dogo Sisko(jini) na Ronaldo (mwanasayansi) kiukweli kwa kipindi kile angalau angalau angefurukuta ila alikuwa kila akiwekewa dau acheze naye...
5 Reactions
53 Replies
1K Views
Katika mchezo wa KMC dhidi ya Yanga, Shedrack Boka alifanya faulu ya wazi na ni penalty lakini kwakuwa refa kwa sababu alizo nazo pekee na woga kwa mashbiki wa Yanga akaamua kufunika na...
7 Reactions
7 Replies
343 Views
Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo. Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli. Hivi timu kubwa...
3 Reactions
14 Replies
512 Views
Yanga kama ilivyo bibi yake CCM imehodhi wasanii wote wanaowika Tanzania. Hakuna haja ya Simba kupapatikia hawa wasanii wanaokuzwa na kulelewa katika misingi ya kisiasa. Simba huwa inaanza...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Unangangania Derby kuchezewa kmc ukijua kabisa uwanja sio mzuri kwa sababu tu unataka tu kumkomoa timu fulani cha ajabu unapewa baraka na TFF kabla ya week haijaisha unarudi tena TFF unalalamika...
11 Reactions
48 Replies
999 Views
Uthibitisho huo umebainishwa na. shirikisho la soka la Nchi yao la TFF Ndio maana hata mechi kubwa za Nchi yao hawapewi NAKALA: MOTSEPE
6 Reactions
18 Replies
363 Views
Kama siyo uhusika WA moja Kwa moja basi Uchawa umeingia michezoni rasmi.
1 Reactions
14 Replies
472 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…