Kuna bonge la mechi Bangladesh Premier league

Kuna bonge la mechi Bangladesh Premier league

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,012
Reaction score
4,473
Asee watu wangu wa nguvu wapenzi wa mpira kuna bonge la mechi yani nail biting usipime.

Timu mbili kubwa kwenye league kuu ya mpira Bangladesh Khelaghar Samaj Kalyan Samiti VS Dhaka Rangers Fc zinacheza.

Yani ni patashika kuna chenga za hatarii na assist za kufa mutu Lamine Yamal mchumba tu.

Nimetokea kuipenda hii league sitajisumbua tena na miligi uchwara FA premier, la liga, bundesliga, league 1 na serie A.

Kusema ukweli mpira unachezwa Bangladesh premier league wee acha tu.

Dakika ya ishirini sasa hivi bila bila lakini hizo chenga, pasi na assist uspime maamae.

hydroxo

adriz de mbusii
 
Screenshot_20260413_125328_Chrome.jpg
 
Wewe utakuwa shabiki wa Arsenal unapoza machungu
Asee watu wangu wa nguvu wapenzi wa mpira kuna bonge la mechi yani nail biting usipime.

Timu mbili kubwa kwenye league kuu ya mpira Bangladesh Khelaghar Samaj Kalyan Samiti VS Dhaka Rangers Fc zinacheza.

Yani ni patashika kuna chenga za hatarii na assist za kufa mutu Lamine Yamal mchumba tu.

Nimetokea kuipenda hii league sitajisumbua tena na miligi uchwara FA premier, la liga, bundesliga, league 1 na serie A.

Kusema ukweli mpira unachezwa Bangladesh premier league wee acha tu.

Dakika ya ishirini sasa hivi bila bila lakini hizo chenga, pasi na assist uspime maamae.

hydroxo

adriz de mbusii
 
bro nakuelewa unachomanisha shakhter karagandy vs aktobe 2 aisee niliweka under 5 second half halafu first half wako 1-0 kipindi ca pili wamepigana 7-0
 
bro nakuelewa unachomanisha shakhter karagandy vs aktobe 2 aisee niliweka under 5 second half halafu first half wako 1-0 kipindi ca pili wamepigana 7-0
Hahahahahaaaaa 😂 😂
 
Niliweka 250000
 

Attachments

  • Screenshot_20260515-211247_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260515-211247_1xBet-indo.jpg
    173 KB · Views: 9
Back
Top Bottom