Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

Big dady 11

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2023
Posts
278
Reaction score
279
Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo.

Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli.

Hivi timu kubwa km Simba ni yakukaa na kuwa wanafurahia magoli ya wachezaji wao??

Turudi kwa kiwango cha chama.
Chama ni mkongwe na anajua sana siasa za mpira wa bongo anajua ili ionekane Bora ni lazma Kwny mechi za dabi uupige mwingi.

Kafanikiwa kwny Hilo na huyo kwny kiwango Bora kwenye mechi mbili tatu znazoendelea.

Ila kwa tunaomjua chama pale ni anajitutumua tu na kutumia uzoefu ila sio tena mchezaji wa ushindani..

Ila kwa akili ya viongozi wa Simba msimu ikiisha wanawaza wasifanye usajiri wa maana wakiaminisha mashabiki chama ni Bora.

Kumbukeni kwny klabu bingwa hankutani na timu km prison Wala KMC.

Mashabiki wa Simba mjiandae kisaikologia
 
Mkuu mbona umeandika kanakwamba Simba ndo imefika ligi kuu leo?
Kama ishu ni kupoteza Ubingwa; hao viongozi walifanya makosa mapema kabla hata ya kuja Chama.

Sidhani kama kuna uhusiano kati ya kushangilia goal zuri na kuchukua ubingwa..

Pia mpira ni mchezo wa wazi, Si ligi tu inamtambua Chama, hata CAF pia. Maana Simba hajaanza leo kushindana. Tupunguze chuki, tukubali kwenye maisha kuna kupanda na kushuka
 
Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo.

Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli.

Hivi timu kubwa km Simba ni yakukaa na kuwa wanafurahia magoli ya wachezaji wao??

Turudi kwa kiwango cha chama.
Chama ni mkongwe na anajua sana siasa za mpira wa bongo anajua ili ionekane Bora ni lazma Kwny mechi za dabi uupige mwingi.

Kafanikiwa kwny Hilo na huyo kwny kiwango Bora kwenye mechi mbili tatu znazoendelea.

Ila kwa tunaomjua chama pale ni anajitutumua tu na kutumia uzoefu ila sio tena mchezaji wa ushindani..

Ila kwa akili ya viongozi wa Simba msimu ikiisha wanawaza wasifanye usajiri wa maana wakiaminisha mashabiki chama ni Bora.

Kumbukeni kwny klabu bingwa hankutani na timu km prison Wala KMC.

Mashabiki wa Simba mjiandae kisaikologia
Umejiandaaje na matusi?
 
Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli.
Viongozi wa Yanga wanauza flash yenye video fupi ya chenga ya Okelo dhidi Rushine ambayo haikuwa faida yoyote kwenye mechi hiyo.

Viongozi wa Yanga wanatumia video hiyo kama faraja kwa mashabiki wake kutokana na huzuni waliyopata kwenye derby mbili mfululizo dhidi ya Simba.

Sasa jiuliz kusifia goli la kideoni la Chama na chenga isiyo na faida kipi muhimu kwenye soka?
 
Kazi na umri.. chama mwili ushaanza kumkataa, asipewe mkataba mwingine
 
Tutamchukua musa bala conte machine ya kazi izibe nafasi yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom