Nike hivi karibuni wametoa tangazo kubwa la kimataifa la mpira wa miguu linaloitwa "Rip the Script" likiwakutanisha mastaa wakubwa duniani kama Cristiano Ronaldo, Kylian Mbappe, Erling Haaland...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, akizungumza Bungeni leo Mei 29, 2026, Dodoma, kufuatia Mechi ya jana Mei 28, 2026 ambapo timu ya Serengeti Boys ilifanikiwa kutinga...
Kama Mada Inavyosema.
Mimi nimekulia Morogoro na nimecheza sana ndondo miaka ya late 1990's na 2000's nikitokea timu ya Ghetto Boys ya Mvomero.
Katika makuzi yetu tulikuwa tunacheza sana ndondo...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, anapaswa kusimama imara na kulinda misingi ya soka la kitaalamu kwa kukataa katakata kuingiza ushawishi wa kisiasa kwenye kanuni...
Vikosi vya Kombe la Dunia 2026 vimetangazwa na nchi zinazoshiriki lakini kama kawaida, mijadala haiishi!
Ni wachezaji gani wameachwa kwenye vikosi vya timu zao za taifa, ilhali walifanya vizuri...
Dj SMA kwenye mahojiano na Bongo Plus ametoa maoni yake kuhusu timu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 maarufu Serengeti Boys baada ya fainali ya AFCON akisema ;
Soma: Full Time |...
Numeona nianzishe Uzi kama huu, maana wenzangu wengi wameshafungua nyuzi za kuipongeza Serengeti Boys kutema ubingwa.
Nimeona nami nisibaki nyuma katika hili.
Hongera Serengeti boiz 👏👏👏👏.
Guys
Huyu dada na akili mara mia ya Makonda. kiufupi Makonda ni empty head kabisa sijui huwa anatumia ubongo upi kutekeleza mambo yake.
Mara nyingi amekuwa ni mtu wa papara na mipango mibovu...
Mwaka huu katika kombe la dunia, aina ya mpira ambao utatumika utakuwa na teknolojia mpya ya kisasa zaidi.
Mipira hiyo ya Adidas inaitwa Trionda, itakuwa na sensor maalum na chip ya IMU...
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili
Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali...
Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (U-17), maarufu kama Serengeti Boys, leo inashuka dimbani kuivaa Senegal U-17 katika mchezo wa mwisho wa michuano ya TotalEnergies...
Nilidhani mtu ukifanikiwa, ukastaafu na kuzeeka basi wivu na bifu za kitoto basi unawaachia vijana, lakini sio kwa huyu mzee
Inaonekana ilimuuma sana Arsenal ilivyochukua ubingwa wa EPL na kufika...
FIFA World Cup 2026 imeidhinisha mgawanyo wa fedha wa dola milioni 727 (Tsh. Trilioni 1.9) kwa ajili ya mashindano hayo, ambao ni mkubwa zaidi katika historia ya michuano hiyo.
Kati ya kiasi...
Naona Azam anachukua watangazaji na wachambuzi wa Michezo wote kutoka vituo vingine.
Wakina Dauda, Kumwembe, Mkalaboko, Meena Ally, Abissay, Ally Mayay, nk.
KOMBE LA DUNIA | WAMEMWAGA WINO
Ni...
Baada ya rejea mbalimbali za matukio ikiwemo penati,faulo na kadi nyekundu katika ligi kuu ya uingereza msimu wa 2025/26.
Imebainika kwamba Manchester city walitakiwa kuongoza ligi kwa pointi...
1. JIFUNZE KURIDHIKA.
Mchezo wa Kubashiri, ni moja katibya mchezo wenye matamanio na wenye mvuto mkubwa sasa, Sasa brothers, wawekezaji, Jifunze kuridhika kile ulichokipata Baada ya Kubet Usibet...
Kwanza nianze kwa kuwapa pole, Tripple M, Makonda, Msigwa na Manara...... poleni kwa kufungwa.
Makonda alitufahamisha kwamba alipokea maagizo kutoka kwa Rais yakisisitiza kwamba Kambi ya...
Hii rekodi inayowekwa na Serikali ya awamu ya sita kwenye sekta ya michezo mbalimbali kuanzia soka Hadi mbio haijawahi wekwa hapo kabla.
Wakati haters wa mama walipojitokeza kusema anaingiza...
Wakuu,
Wabunge waliosafiri kwenda Nchini Morocco wakiwashangilia Serengeti boys baada ya mchezo wa Fainali ya AFCON U-17 waliyopoteza kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Senegal