ENGLAND: Msimu uliopita #ManchesterUnited iliumaliza kwa kuonesha ushindani mzuri, safari hii Msimu wa 2026/27 katika Premier League imeanza kwa kupigwa 2-0 kutoka kwa timu iliyopanda daraja...
Hull City wamemnyuka Manchester United kwenye mechi yao ya kwanza baada kurejea Premier League baada ya miaka 9.
Hebu vuta picha, unarudi kwenye ligi ngumu kuliko zote duniani baada ya miaka 9...
Moja kwa moja huu uzi uwafikie viongozi na benchi la ufundi la Simba sc. Muwaeleze wachezaji kuwa uwepo wa Football video support (FVS) na madhara yanayoweza kuwakumba wao wachezaji na team kwa...
Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya watu wenye kimo kifupi nchini Sudan, inapambania ndoto yake ya kucheza Kombe la Dunia licha ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
Timu hiyo inajiandaa...
Kama hutakuwa makini unaweza kusema 90% ya TFF, Bodi ya Ligi na marefa walikuwa ni Simba kabla ya ujio wa technolojia ya FVS kwenye ligi yetu, kumbe bana haikuwa hivyo, walikuwa wanapitiwa tu...
Kwa watu wa ball you bella wochi you back once again chondechonde kwa. benchi la ufundi la wanasimba tunaomba huyu dogo asicheze kama. Kweli tuko serious na kusaka ubingwa
Semfuko huyu dogo...
Hatimaye the long wait is over Rodri ndani ya uzi wa Barça.
Barça itakuwa na kiungo kikali sana kati mkata umeme Rodri pembeni akiwepo Pedri na Dani Olmo na mtoto wa Kidachi FDJ kmmk
Leo game ya...
Klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji, Allan Okello ‘Star Boy’ kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Young Africans SC ya Tanzania
Soma Pia: Biashara ya...
Tottenham Hotspur wameingia kwenye msimu wa 2026/27 kwa kufanya usajili mkubwa, huku klabu hiyo ikiendelea kujenga upya kikosi chini ya kocha Roberto De Zerbi. Spurs tayari wameongeza nyota...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ili vikamilike kwa wakati na...
I will be short
Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.
Kibongo bongo
Ni pesa za...
Taifa kubwa, lina hela na linapenda mpira. Inakuwaje ligi ya Tz ni bora kuliko ya Nigeria? Naona wanigeria wengi kama wakenya. Kushabikia zaidi timu za Epl lakini ndani hawana club za maana. Shida...
▪︎ Ataka kazi ifanyike usiku na mchana inapowezekana
▪︎ Asisitiza mashindano hayo ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Tanzania
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa...
Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba.
Hela zoooooote...
Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, wameendeleza kasi yao katika msimu mpya baada ya kuichapa Coastal Union mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.
Yanga ilionyesha...
Mario Balotelli ni mshambuliaji wa Italia mwenye asili ya Ghana, aliyezaliwa 12 Agosti 1990, nchini Italia. Alianza kujulikana akiwa na Inter Milan, ambako alishinda mataji kadhaa chini ya José...
Miaka tisa iliyopita, Kylian Mbappé na Bernardo Silva walikuwa sehemu ya kikosi cha Monaco kilichotikisa soka la Ulaya mwaka 2017.
Wawili hao walicheza pamoja katika kikosi hicho kabla ya...