Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Nilisema na nasema tena. Simba haimfungi Azam Zanzibar. Kupeleka kule ni mkakati Maalum Azam kwao ni Zanzibar kama hamjui. Nimekaa hapa
4 Reactions
30 Replies
470 Views
Canada, Brazil, Spain to score three goals first half imetick. Bado Portugal. Nishaurini wawekezaji.
16 Reactions
352 Replies
10K Views
Cabo Verde imevutia wengi kwa kiwango chake bora kwenye Kombe la Dunia 2026. FIFA inaweza kudhamini mechi ya kirafiki kati ya bingwa wa dunia na Cabo Verde kama heshima kwa safari yao ya kuvutia...
2 Reactions
9 Replies
193 Views
Cape Verde wapo kazini! Argentina wakiaga mashindano leo sitashangaa! Je wewe unasemaje?
7 Reactions
77 Replies
1K Views
Wakuu Habari za Uzima, Baada ya kutafuta kazi na kukosa, na Zingine nikipata wananikataa Wakishajua nina Usikivu Hafifu "Hearing Loss " Basi Nimeamua Kuingia kwenye BETTING, Kuna Hela...
10 Reactions
53 Replies
697 Views
Habari wakuu, hii michuano ya kombe la dunia hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali. Hawa Morocco wameotea tu ila kiama cha timu za Afrika chaja round 2. Nipo Pape mwanaa...
2 Reactions
21 Replies
639 Views
Argentina vs Cape Verde: Mabingwa Watetezi Wakutana na Wababe Wapya wa Mashindano Jimbo la Florida litakuwa mwenyeji wa mchezo wa hatua ya 32 bora wa Kombe la Dunia 2026 kati ya mabingwa watetezi...
2 Reactions
39 Replies
913 Views
Bingwa atakuwa Croatia. Mimi sio mchawi. Sio mtabiri. Sio Ostaz. Sio Mtume na Nabii. Ni Mwanahisabati/ Mwanasayansi ( my mindset is scientific and mathematically oriented)/ Mwanamichezo...
11 Reactions
96 Replies
2K Views
Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam umeondolewa katika orodha ya viwanja vilivyoidhinishwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutokana na kuendelea kwa matengenezo makubwa yanayoandaliwa...
6 Reactions
16 Replies
475 Views
Ligi ya TFF ina timu ambazo zimethibitika hata CAF kuwa zinafanya uchawi michezoni hadi zikapewa adhabu na CAF. TFF wanajua kuwa kuna timu ziliomba uongozi wa uwanja wa taifa iwaruhusu wafanye...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
INASIKITISHA SANA. Mimi kama mdau wa riadha ninasikitishwa na mashindano ya taifa ya riadha kufanyikia kwenye uwanja wenye njia za kukimbilia za vumbi badala ya tartan kama za uwanja wa taifa. Kwa...
1 Reactions
6 Replies
145 Views
Wana timu nzuri mno, haizungumzwi wala kufuatiliwa sana, lakini ina uwezo na uwezekano mkubwa sana wa kutwaa kombe hilo la dunia katika mpira wa miguu duniani. Ni wazi Rais Donald J. Trump...
1 Reactions
4 Replies
172 Views
This kid kila siku nikimuangalia nabaki mdomo wazi tu the way he is toying defenders Vission + composure 💯 Akiamua kuchukua kijiji anachukua vizuri skills yupo 🔥 Anaponichosha anaweza piga...
20 Reactions
198 Replies
3K Views
Australia vs Misri: Vita ya Kutafuta Ushindi wa Kwanza Hatua ya Mtoano Kombe la Dunia 2026 Uwanja wa Dallas Stadium utakuwa mwenyeji wa pambano la hatua ya 32 bora kati ya Australia na Misri...
2 Reactions
19 Replies
346 Views
Nadharia mpya mtandaoni inadai kuwa mshindi wa Kombe la Dunia la FIFA 2026 anaweza kutabiriwa kupitia rangi rasmi za nembo ya mashindano. Mashabiki wanaamini rangi hizo zinaweza kutoa ishara ya...
1 Reactions
7 Replies
408 Views
Guess who is he 🤔 Iconic Wall
1 Reactions
6 Replies
133 Views
Naanza kuamini, kama mechi za mpira wa miguu zingekuwa zinamalizika dakika ya 85, Afrika ingekuwa imefanikiwa sana kwenye kombe hili la Dunia, na mashabiki wetu wasingekuwa na presha ya kupanda...
2 Reactions
8 Replies
292 Views
Cristiano Ronaldo sasa amefikisha mechi 10 mfululizo kwenye michuano mikubwa bila kufunga bao baada ya mchezo wa Portugal dhidi ya DR Congo ⚽🔥 CR7, Mnyama wa Madeira, Captain Fantastic, Mr...
14 Reactions
64 Replies
876 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…