Arsenal yan'gan'ganiwa na Wigan 2-2

Horseshoe Arch

JF-Expert Member
Aug 10, 2009
13,139
12,281
Arsenal imelazimishwa kwenda sare na Wigan ya magoli 2-2.

Wigan wakicheza nyumbani ndio walikuwa wa kwanza kuliona lango la Arsenal kupitia mkwaju wa penati uliopigwa na Ben Watson katika dakika ya 18.
Watson
Arsenal walikuja juu ya kulisakama lango la Wigan na kuppata mabao mawili ya haraka haraka katika dakika za 39 na 44, kupitia Andrey Arshavin na Niklas Bendtner.

Wakiwa wanaelekea kupata ushindi wa pili mfululizo baada ya kuizaba Chelsea, Arsenal walijikuta wakienda sare baada la mlinzi wa Arsenal Sebastian Squillaci kujifunga, zikiwa zimesalia dakika tisa mpira kumalizika.
100419043251_watson480x320afp.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom