Mkuu hiyo picha ya kwanza gari ina namba za Botswana, picha ya pile jamaa wamekumbatia bia aina ya Lion ya huko huko Botswana pia na zim. Very likely habari yako na picha ni vya kuunga unga!!!!!!! Interesting lakini.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.