Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mashirika ya Utangazaji ya Umma ni Wajibu wenu kupromoti matukio ya kitaifa ikiwa ni pamoja na kuonesha mechi za Timu ya Taifa.........................siku hizi ni kama mnajisahau vile
0 Reactions
1 Replies
2K Views
...Wana JF nimekuwa nikipata shida kujua kati ya hizi timu kubwa za soka la BONGO yaani SIMBA na YANGA nani anawashabiki wengi hapa Tanzania na other East Africa countries.......? Mwenye data...
0 Reactions
25 Replies
32K Views
Ligi ya Tanzania bara itafikia kilele tarehe 10/04/2011. Timu zote zinatakiwa kushinda kwa idadi kubwa ya magoli ili kutwaa ubingwa. Yanga inatakiwa kuifunga Toto, wakati Simba inatakiwa kuifunga...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Wadau tunaomba updates za mpambano huu...nawakilisha
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Wayne Rooney amesema "amesikitishwa" kwa kukosa mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Manchester City, baada ya rufaa yake kutupiliwa mbali na kutakiwa kutumikia adhabu ya kutocheza mechi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naona yule mcheza basketball maarufu kule US LeBron James ameamua kuwekeza kwenye timu bora na yenye mafanikio zaidi England. LeBron James to hold minority interest in Liverpool Football Club -...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania Football Federation Kwa kweli nimevutiwa na tovuti ya TFF ilivyo sasa hivi mara ya mwisho kuitembelea ilikuwa haivutii kabisa hivyo niliachana nayo, lakini leo nimeipitia inavutia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kila week end napata presha kabisa, yaani timu ua vitu ninavyo shabikia kwa sasa vyote ni hovyo kabisa. football Tz: Yanga Footbal UK: Arsenal Footbal Spain: Real Madrid Formula 1: Ferrari Moto...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natamani mechi ya mwisho ya ligi mwaka huu ingekuwa ya Yanga Vs Simba . Nadhani TFF nao wanamezea mate kupita maelezo ila ndio ishatoka hivyo. Kwa wapenzi wa Simba iwapo Yanga itashinda bao 1-0...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SIMBA:Klabu ya Esperance imethibitisha kwamba mchezaji Javier Besala Bokungu aliyeichezea Mazembe katika mchezo wa kwanza dhidi ya Simba ni mchezaji wao halali. Kwamujibu wa habari zilizopatika...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Wrestlemania 27 took place in Atlanta, Georgia on April 3, 2011. The largest event in wrestling was a massive spectacle, featuring the biggest names in the WWE, including old-timers like...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani naomba kupata updates za mechi kati ya Simba na maafande wa Ruvu JKT unaochezwa leo kwenye shamba la Bibi Temeke mwenzenu niko mbali sina njia ya kupata matokeo zaidi ya hapa jamvini...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Zicheze Kesho Mechi Maalumu kwa Ajili ya Kumbumbuku ya Mzee Wetu Mzee Karume!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeangalia mechi ya Madrid na Totenham jana, nimegundua kwamba Adebayor bado ni striker hatari sana, Alikua anabaniwa tu pale man city, kapiga bao 2 safi sana za kichwa. Nadhani Mzee Wenger...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ktk mambo yaliyokuwa ya kujifunza na kuvutia kutoka kwa washangiliaji wa tp mazembe ni namna ambavyo walikuwa na mori na kuhamasisha wachezaji wao toka mwanzo hadi mwisho wa mchezo.Namna ile...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mara nyingi ninapoangalia timu yetu ya Taifa ikicheza nawakumbuka sana wachezaji wa zamani. kama hawa wafuatao:- Idd Pazi, Mohamed Mwameja, Zamoyoni Mogella, Said Mwanga Kizota, Damian kimti...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baada ya kipigo cha Simba toka kwa TP Mazembe nimeanza kuhisi huenda na majina ya timu yana mchango katika ushindi hata kabla ya mechi, mfano jina kama TOUT POUISANT MAZEMBE ENGLEBERT linatisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sosthenes Nyoni NDOTO ya mabingwa wa Tanzania, Simba kusombe kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika imebaki hadithi baada kupokea kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa TP Mazembe jana kwenye Uwanja...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…