bandubandu
Senior Member
- Dec 19, 2010
- 102
- 28
Ktk mambo yaliyokuwa ya kujifunza na kuvutia kutoka kwa washangiliaji wa tp mazembe ni namna ambavyo walikuwa na mori na kuhamasisha wachezaji wao toka mwanzo hadi mwisho wa mchezo.Namna ile inasaidia hata wachezaji kujituma uwanjani,kilikuwa ni kikundi kdg tu cha washangiliaji takribani kati ya hamsini na sitini kilichokuwa kikipiga matarumbeta,saxerphone na kuimba kiliufanya uwanja mzima uwe unasikika sauti zao na ngoma.