MashaJF
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 246
- 119
Natamani mechi ya mwisho ya ligi mwaka huu ingekuwa ya Yanga Vs Simba . Nadhani TFF nao wanamezea mate kupita maelezo ila ndio ishatoka hivyo.
Kwa wapenzi wa Simba iwapo Yanga itashinda bao 1-0 dhidi ya Toto Africa, Simba atatakiwa kushinda bao 4-0 dhidi ya Majimaji ili atwae ubingwa, na kama Yanga atashinda 2-0 Simba atatakiwa kushinda 5-0, na kama Yanga atashinda 3-0 basi Simba 6-0, mahesabu mengine endeleza mwenyewe mimi nimeisha rahisisha.
Kwa wapenzi wa Simba iwapo Yanga itashinda bao 1-0 dhidi ya Toto Africa, Simba atatakiwa kushinda bao 4-0 dhidi ya Majimaji ili atwae ubingwa, na kama Yanga atashinda 2-0 Simba atatakiwa kushinda 5-0, na kama Yanga atashinda 3-0 basi Simba 6-0, mahesabu mengine endeleza mwenyewe mimi nimeisha rahisisha.