huyu demu ni noma, anapatikana Morogoro.
Balaa tupu!! ana stamina ya ajabu!! anaweza kupiga danadana 100 kwa kichwa at one go, na kwa siku anaweza kufanya hivyo mara 20 na zaidi.
Nipeni namba yake. Huyo anatakiwa kufanya majaribio nje ya bongo. Hapo tz watambemenda tu. Maana kina Lundenga wapo mpaka kwenye soka ha ha ha. Kwa kweli kipaji chake kipo juu. Wanaiweza kumsaidia mpeni shavu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.