Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Tanzania hatujawahi kushinda mchezo wowote katika kushiriki kwetu afcon. Kwa ufupi nimiongoni mwa timu dhaifu sana katika mashindano ya AFCON zilizopita. Pamoja na unyonge huo tunatakiwa...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Baada ya kukwaa visiki Kila waendako TFF&BODI YA LIGI, CAS na HATIMAYE MAHAKAMA KUWAFURUSHA hapo Jana. Viongozi wa Yanga wamejiandaa na kubadili gia angani Huku wakitarajia muda wowote Ule...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Naomba niwasanue.. Kampuni ya Paripesa inawatumia akina Sativa17. Ipo hivi: wanapewa mamilioni ya pesa na kampuni, wanasukiwa mikeka ya uongo(japo mara chache husika ya ukweli) Kisha Wana stake...
7 Reactions
49 Replies
4K Views
Mpaka sasa Tanzania 0 na Madagascar 1 Kama Madagascar watatulia wana nafasi ya kuongeza tena goli. Tuendelee kuombeana. Mpira umekwisha na Stars anapasuka
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Serikali ikianza kukwepa majukumu yake na kukimbilia vitu vya kisiasa visivyo na maana mtu masikini hugeuka kuwa kama mpira wa kona. Mwl Nyerere alishaonya kwenye moja ya hotuba zake za mwaka...
2 Reactions
1 Replies
318 Views
06 June 2025 Peter Mokaba Stadium Pietersburg (Polokwane) South Africa Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars' kinatarajiwa kuingia uwanjani leo kuvaana na Afrika Kusini...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Mungu ni Mkuu. Pale unapopambana ufanikiwe ili umtukane jirani yako . Kiuhalisia Kombe la Shirikisho Caf mwk huu lilikuwa la Simba ila kutokana na Kiburi , kufuru , dhihaka na ulimbukeni Mungu...
1 Reactions
5 Replies
378 Views
Hizi chuprichupri huwa hazifikagi mbali,sasa hivi wanavyolilia points 3 za mezani utadhani sio GSM aliyekuwa anadhamini zaidi ya timu 8, na mipango yote nye ya uwanja bado mnaogopa kupeleka timu...
1 Reactions
26 Replies
911 Views
Kama YANGA hawatoandaa Mchezo wa Tarehe 15 Ina maana Simba watakuwa hawajui waende Uwanja Upi ili wapate hizo point tatu, Kwasababu mwenyeji hajasema Venue..!! Hii movie ni Kali sana 🙌🏻🙌🏻
22 Reactions
116 Replies
5K Views
Kituo Cha Utangazaji Cha Dream Media Kinachomiliki Dream Fm Na Dream Online Tv Kimezindua Mashindano Ya Dream Inter College Super Cup Yenye Lengo La Kuinua Vipaji Kwa Wanafunzi Walioko Vyuoni...
1 Reactions
5 Replies
424 Views
FEISAL SALUMU "FEITOTO" KIWANGO ALICHO ONYESHA KIPINDI CHA PILI DHIDI YA BAFANA BAFANA KIMESABABISHA JINA LAKE LIIMBWE HUKO AFRIKA KUSINI. WENGINE WANASEMA WAO WANA ALLENDE SISI TUTAKUWA NA...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Mpira ulizaliwa ulaya na umeendelea kutunzwa na kuhifadhiwa na wazungu wenyewe huku wakiangalia vituko na maigizo kutoka pande zingine za dunia Hapo kesho Portugal ya Ronaldo itataka kumpa...
2 Reactions
16 Replies
700 Views
Tottenham wamefukuza kazi kocha wao mkuu Ange Postecoglou licha ya kuwa ndiye aliyekomesha ukame wa miaka 17 wa mataji kwa kuipa klabu hiyo ubingwa wa Europa League mwezi Mei. Thomas Frank ndiye...
2 Reactions
8 Replies
937 Views
Klabu ya Simba imeadhibiwa kwa kutozwa faini ya Sh. 5,000,000 (milioni tano) kwa kosa la mashabiki wake kurusha chupa za maji uwanjani wakati wa mchezo tajwa hapo juu kwenye uwanja wa KMC Complex...
3 Reactions
44 Replies
2K Views
Yanga wameshasema hawachezi, wengine wanasema wanadanganya na wengine wanasema wako serious kwa sababu hadi leo hakuna tiketi zinazouzwa, wengine wanaona Yanga wameanza mazoezi mapema na hivyo...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Ukiiongelea ligi ya Tanzania mwaka 2020-2022 hutaacha kuongelea umahiri wa Waamuzi mahiri na wa kutegemewa kipindi hicho wakiongozwa na Hery Sasii. Sasii alikuwa mwamuzi makini na aliyetegemewa...
4 Reactions
12 Replies
682 Views
Janjajanja zina Mwisho wake, Ubaya ubwela unaendelea kufanya kazi, watu walikusanya ushahidi wakapeleka FIFA Hapa takukuru na TFF wangefunika kombe Soma hiyo screenshot hapo chini ndo utaelewa...
13 Reactions
35 Replies
3K Views
Yani Ile faulo ya mpanzu mchambuzi anaona ni ya kawaida na anaitetea!? Huyu kazi na mwenzake ni Bora wamestafu maana nje ya hapo wangeleta shida sana ya maamuzi kuliko hata Tatu Malogo
4 Reactions
10 Replies
636 Views
Nimeshangazwa na aina na kiwango cha adhabu ambacho kimetolewa hivi karibuni na Bodi ya Ligi dhidi ya mchezaji wa Singida BS Jonathan Sowah na kocha wa viungo wa Simba. Kocha wa viungo wa Simba...
4 Reactions
14 Replies
872 Views
Jamaa kila uchwao huwa anaililia simba hii, akipewa ataimudu au Ana mpango gani?, kuhusiana na simba atuwekee hapa!
0 Reactions
5 Replies
562 Views
Back
Top Bottom