Technically: Yanga ilaumiwe Kwa usajili mbovu wa simba

Technically: Yanga ilaumiwe Kwa usajili mbovu wa simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
23,011
Reaction score
32,907
Kwa taarifa za kiinteligensia inasemekana Yanga Wana kikosi Cha Siri Cha propaganda ambacho huwalisha matangopori ya usajili Simba

How does it work???
Ni Kwamba kipindi Cha usajili macho ya viongozi wa Simba huwa yanafuatilia wachezaji ambao Yanga wanawataka ( since Yanga kwenye scouting wako vzr). So kipindi hiki Yanga inawapa data za wachezaji magarasa icho kikosi Ili taarifa wazipeleke Simba. Then Simba watakurupuka kama kifaru .....mwendo wa ngiri mkia juu kwenda kusajili [emoji23][emoji23]. Then huku Yanga inaandaa list ya quality prayers kuwasajili

NB: kama huamini fuatilia sakata la Ngoma kuibiwa airport...kile kikundi kikapiga propaganda kuwa Ngoma ni mali ......Yanga wakajifanya wanamleta TZ ....simba wakajaa Kwa mfumo wakapita nae airport kumbe lilikuwa bomu .....then Yanga wakamsajili max nzengeli na duke abuya[emoji23][emoji23]........so zile sajili za kina sawadogo.....mzungu, mutale, Debora na wote ni Yanga propaganda effects
1750880993766.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Huo ndiyo Ukweli.....!

Na Viongozi wa Yanga Wakati mwingine wakisikia Mchezaji wa Simba analipwa kidogo, ama anataka kuachwa kimizengwe, basi Yanga watatangaza kumsajiri....!

Hapo Simba itazuia Mchezaji kuondoka na kumpa mkataba Bora, ama kumuongezea Mshahara.
 
Mara zote yanga hujifunza Kwa Simba,Simba ni miongoni mwa TIMU kubwa kabisa za kiafrika
 
Huo ndiyo Ukweli.....!

Na Viongozi wa Yanga Wakati mwingine wakisikia Mchezaji wa Simba analipwa kidogo, ama anataka kuachwa kimizengwe, basi Yanga watatangaza kumsajiri....!

Hapo Simba itazuia Mchezaji kuondoka na kumpa mkataba Bora, ama kumuongezea Mshahara.
Yaaah mkuu hyo ndo michezo ya nje ya uwanja [emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkabebe kombe la klabu bingwa kwa hizo sajili zenu bora siyo kusajili wachezaji wa kuwafunga simba tu halafu kimataifa wanaishia makundi huko
 
Back
Top Bottom