Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Huu ni ushauri kwenda kwa Mamlaka zinazosimamia mchezo wa Ngumi , huyu jamaa hana uwezo wa kupigana , anasukumwa na usela tu , ngumi ni mchezo wa hatari sana kwa afya ya mtu , unaweza kusababisha...
14 Reactions
40 Replies
4K Views
Hizi timu huwa zinanichanganya ipo kubwa yenye pesa. Na makombe mengi Sasa hivi wakuu
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Fukuzeni Murtaza Mangungu, Salim Abdallah Mhene 'Try Again', Abbas Mratibu wa Timu, Mtani wangu wa Kihaya Meneja Rweymamu, Mtani wangu wa Kiha na Rafiki yangu Kocha Msaidizi Matola na badilisheni...
7 Reactions
50 Replies
3K Views
Mi nauliza tu swali, mlianza kwenye comedy hadi mkampa tuzo, na wakasema mama ndio mchekeshaji wa kwanza😂😂 haya tukatulia. Sasa kwenye Knockout ya Mama mtu akila kichapo inamaanisha kala kichapo...
0 Reactions
8 Replies
500 Views
Rais wa FIFA amewapongeza yanga sc kwa kutwaa vikombe vyote 💛💚💪 Pia amewapongeza mashabiki na wanachama kwa kuiyunga mkono timu yao japo ilianza kwa kusuasua Asante Raisa wa FIFA 💪💚💛
7 Reactions
8 Replies
706 Views
Stars haijawahi tu kuwa serious na CHAN tofauti na ilivyoshiriki kwa mara ya kwanza mwaka 2009 chini ya mzee Marcio Maximo na Ally Bushiri. Tumefuzu Afcon 2025 kwa kuzifunga nchi zilizotumia...
2 Reactions
4 Replies
486 Views
Dk Mo ana uhakika gani kuwa wanasimba wangapi hawamtaki Mangungu? Mangungu amechaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mwenyekiti, hawezi kuondolewa na Dk mo kihuni kwa makosa ambayo hayana ushahidi. Yaani...
1 Reactions
15 Replies
954 Views
Wakuu ==== Tujadili sababu zinzoikwamisha Simba kwa Miaka ya hivi karibuni, Mabadiliko ya mara kwa mara ya benchi la ufundi Usajili usio na tija Presha kutoka kwa mashabiki na mashindano ya...
1 Reactions
2 Replies
499 Views
Ndugu zangu nadhani mmeona manufaa ya kuniuzia bandari, mnaonaje mkiniuzia na hii timu inayo suasua?
2 Reactions
9 Replies
525 Views
https://www.youtube.com/watch?v=VqJg2dTFm4A
0 Reactions
4 Replies
509 Views
Ukiwa unatazama games za Simba jaribu kuweka concentration kwa Mavambo, utainjoi sana.
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Baada ya hicho kibunda kuwekwa kama timu ya taifa itaweza kutwaa kombe la Chan kili nikiitazama hakuna namna tunaweza kushinda hilo kombe . Hivyo hakuna namna hii pesa itapatikana badala yake...
1 Reactions
7 Replies
434 Views
Hapo vip!! Huu ndio ukweli kama unataka mafanikio kwenye uwekezaji wa mpira na jambo lolote. Wahindi biashara zao ni viwanda vya pilipili, tomatoes, mikate, pipi na biscuit..mpira hapa nyota zao...
5 Reactions
11 Replies
771 Views
MO KAPIGWA CHANGARAMACHO tukutane mwisho wa msimu Inasemekana uongozi wa simba unawasumbua sana Klabu ya As Vita Club kutaka kumsajili moja kwa moja Elie Mpanzu Klabu ya As Vita imesha wajibu...
13 Reactions
130 Replies
5K Views
Wakati msimu unaanza, Miguel Gamondi aliendelea na kazi yake, Ila mashabiki wengi hatukufurahishwa na mwenendo wa matokeo ya ushindi mwembamba, Yanga ilikuwa inashinda lakini kwa taabu, hatimaye...
1 Reactions
1 Replies
535 Views
Apo mwanzo ilielezwa kuwa mshambuliaji uyu machachari ata timkia jangwani kwa mabingwa Young Africans sports club lakini baada ya sababu za kinidhamu wameamua kuachana na mchezaji uyo, kwa ili...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Wakuu! 😄 Mashabiki wa Arsenal kule Kenya wameamua kupiga party ya nguvu kusherehekea usajili wa mshambuliaji hatari Viktor Gyökeres!
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama wewe mpenzi wa Games basi tambua EA sports imemuondoa Diogo Jota kwenye Games 🎯. Aliyekua mchezaji wa Liverpool ambaye alifariki Kwa ajali ya Gari mwezi mmoja uliyopita nchini Spain Diego...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Nimethibitisha ni wazi kuna tatizo kubwa sana huko ndani kwenye uongozi wa simba. Sijajua exactly kama ni hela hakuna??, Viongozi wamejigawa??, au kingine chochote ila nakuhakikishia kuna tatizo...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom