Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

We dogo una vielement vya kutojitambua au labda unajichukulia poa kiasi kwamba timu nazo zinakuchukulia poa. Umeingia anga za usajili wa kimhemko wa Yanga ambao siku hizi wanasajili wachezaji ili...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Aliyekuwa beki kisiki wa Simba Sc, Henock Inonga Baka amepewa mkono wa kwaheri na klabu ya AS FAR Rabat ya Nchini Morocco aliyokuwa akiitumikia kwa msimu mmoja baada ya kuondoka Simba...
0 Reactions
8 Replies
774 Views
Kama nchi lazima tuwekeze kwenye miradi inayotengeneza fedha (money generating project) Katika jitihada za kuongeza vyanzo vingi vya mapato ntahakikisha Tanzania tuna-kuwa na better ecosystem ya...
1 Reactions
6 Replies
362 Views
Hapa nimepiga hesabu kupitia diary yangu kwanzia mwezi wa nne mpaka leo nimeliwa milioni mbili laki moja na 89 2,189,000/= ambayo ni wastani wa laki saba kila mwezi hapo sijapigia hesabu toka...
31 Reactions
182 Replies
7K Views
Zikiwa zimesalia siku chache kurejea kwa ligi mbalimbali duniani, joto la soka linazidi kupanda. Mitandao inachafuka, pesa inamwagika, tambo zinatembea – lakini mwisho wa siku ni uwanjani tu ndipo...
0 Reactions
5 Replies
802 Views
Kwanini? Ndio namba yake asilia,, ni Top top clinical finisher akicheza as final strikers Sio winger,, kama nilivyo eleza hapo juu,,, Hiki ni kipaji kikubwa sana cha hapa bongo ambacho...
0 Reactions
1 Replies
355 Views
Don't COMPETE with others just COMPLETE your ambitions.
3 Reactions
1 Replies
342 Views
Klabu ya Yanga SC iko mbioni kuingia kwenye ukurasa mpya wa kikosi chake baada ya taarifa kuibuka kuwa baadhi ya nyota wake wakongwe na mahiri kama Khalid Aucho, Jonas Mkude, na Clatous Chama...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
wakuu ===== huyu Yamal kweli ni bwana mdogo amemsahu hata pele??? Nyota chipukizi wa FC Barcelona, Lamine Yamal, ameibua mjadala mzito mitandaoni baada ya kutangaza kikosi chake cha ndoto...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Nilipoona tu Siku ile Yanga SC inarejea na Kombe kutoka Zanzibar huku ukijifanya Wewe ni Dj na ukawa Unatuzodoa wana Simba SC hasa pale Msimbazi Street mlikopita nilijua tu baada ya hapo kuna...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimeangalia pambano la mfaume na bondia kutoka Malawi anaitwa somebody banda aisee hadi aibu, mfaume kapigwa round zote lakini ushindi kapewa mfaume IDIOTS. Majaji hamna akili mnaleta siasa mpaka...
10 Reactions
47 Replies
2K Views
Leo nimeona niiongelee kidogo timu yangu ya zamani, Simba SC. Kwa hizi sajili, acha, sajili zinazofanyika kila msimu inaonyesha wazi Simba imepoteza kabisa kujiamini. Viongozi hawajui Simba...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Liverpool mabingwa wa msimu 2024-2025 wa ligi ya uingereza nawapa chapuo ya kuchukua tena ubingwa wa msimu ujao. Hii timu bwana imekamilika kila idara licha ya kuondoka baadhi ya nyota wake pia...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Sijaitaja sasa Wewe shoboka kuwa unaijua kwa kujifanya upo Akilini mwa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Malaika wa Kizanaki (Mara Tanzania), Kiyao (Mtwara Tanzania) na Kitutsi (Gisenyi Rwanda) sawa?
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Magari ya matent fuso,scania zinaingia ndani ya pitch kushusha tent Mashimo au vitu vizito vya kuwekea tent Watu mia n.k kukakaa kwenye pitch kwenye ujinga wa kungamano Yaani hata wakikarabati...
2 Reactions
7 Replies
638 Views
Habari Zenu mashabiki bora wa CAF Super League! Kiukweli tumeingia mkenge Kwa porojo za Utopolo. Simba Kwa Msimu huu tumefanikiwa kufika sehemu ya ndoto yetu wengi hatukuwahi kushuhudia Mnyama...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Ujana unaliwa Simba uzee unaliwa Yanga kuvuta penshen Hii ni Tasaf au NSSF?
7 Reactions
38 Replies
2K Views
#MICHEZO Baada ya taarifa kutoka kwamba siku ya kesho wachezaji wa klabu ya Simba SC watatinga kambi ili kuanza maandalizi ya msimu mpya 2024/25. Meneja habari wa klabu ya Yanga SC ametoa ahadi...
9 Reactions
60 Replies
4K Views
Wakuu! Mashindano ya CHAN 2024 yanakaribia kuanza, Jumamosi Agosti 2, 2025, lakini maandalizi ya promo na hamasa bado yapo chini ya kiwango. Hakuna mabango katikati ya jiji la Dar, wala matangazo...
2 Reactions
7 Replies
546 Views
Klabu ya Singida Black Stars kupitia kwa Afisa Habari wake Husein Massanza imesema mshambuliaji hakuna timu Tanzania yenye uwezo wa kumnunua mshambuliaji wao Jonathan Sowah na kubainisha kuwa kama...
3 Reactions
5 Replies
809 Views
Back
Top Bottom