Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Beberu la kihaya ni mjanja sana. Kaomba tenda ya bilion 5.6 kwa mwaka, Yeye kaiuza tenda kwa third party ambaye ni DIADORA (kampuni ya vifaa vya michezo kutoka Italy) kwa bilion 7.9 kwa mwaka...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Game ya Jpili Simba atashinda zaid ya Goli 2, Game ya maridiano kwa Madiba itakuwa sare, Game ya Fainal Simba ataanzia Nje nayo itakuwa sare, Atakuja ukimaliza kwa mkapa kwa ushindi mnono na...
15 Reactions
47 Replies
3K Views
Miaka 4 ya simba kukosa ubingwa wa NBC Kachukua ngao ya jamii. Kafika fainali CAF. Kafika robo fainali mara 3 mfululizo klabu bingwa Afrika. Kashiriki africa football league mbele ya rais wa...
1 Reactions
17 Replies
777 Views
1. Tukio la Simba SC kuingia uwanjani na jeneza ni kumbukumbu ambayo itaendelea kuwatesa mioyoni mwao – historia haifutiki. 2. Waliingia kwa mbwembwe, jeneza juu ya mabega – lakini...
8 Reactions
12 Replies
767 Views
NBC PL msimu wa 2025/26 inaweza kuanza kutimua vumbi mnamo mwishoni mwa mwezi wa nane au mwanzoni mwa mwezi wa 9 Huku vilabu vikubwa vitatu, YANGA, SIMBA na Azam vikipigana vikumbo ktk...
1 Reactions
6 Replies
530 Views
Ni hoja inayojitokeza miongoni mwa Wadau.! Hasa kipindi hiki ambapo Simba Sports Club imeingia mkataba mwingine mnono na Betway wenye thamani ya Bilioni 20. Wadau wa wasoka Wamekuwa Wakijiuliza...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Kelele nyingi, oohh ligi yetu ni Bora,mashabiki hujaza viwanja. Kujaza uwanja timu ya taifa eti mpaka hamasa, wakenya hawanaga hizo, jamaa wametisha sana hongereni wakenya.
0 Reactions
12 Replies
762 Views
Hata hivyo simlaumu sana kwani niliambiwa alikuwa akiumizwa mno tu Kiushirikina na Mtoto wa Morogoro aliyetuacha.
0 Reactions
2 Replies
343 Views
Kiungo nyota wa kimataifa kutoka Zambia, Clatous Chama, amesema kuwa klabu ya Simba SC inapendwa na kuheshimiwa zaidi nchini kwao Zambia ikilinganishwa na Yanga SC. : Chama ambaye ameachana na...
5 Reactions
57 Replies
5K Views
Inaonyesha Yanga msimu huu imeamua kuenzi michezo yote iliyopo katika nembo yao. Baada ya pambano la ndondi la kukata na shoka kati ya Kibwana Shomari na Denis Nkane, sasa hivi klabu hiyo...
2 Reactions
16 Replies
814 Views
Nmeona ingizo jipya la huyu Kouma (tamka K with U) je mnamwonaje? Anaweza kutufikisha mbali? Maana tayari kuna team Kouma imejipambanua ikimpigia debe na kutangaza jersey yake mgongoni na jina...
1 Reactions
12 Replies
896 Views
Timu zetu za mpira zinaongozwa kiujanja ujanja sana sio sawa hata kidogo kidogo Timu zinasign mikataba ya mabilioni ila wanachama hawaambiwi matumizi- NIKIWA RAIS KUPITIA BMT NI LAZIMA KWA TIMU...
3 Reactions
20 Replies
880 Views
Simba wamemtambulisha rasmi Rushine De Reuck. - Nyota huyu wa kimataifa wa Afrika kusini na klabu ya Mamelodi Sundowns anakuwa mchezaji wa kwanza kutambulishwa rasmi kwa mashabiki wa Simba...
8 Reactions
58 Replies
4K Views
Mdogo mdogo tunatoa vyombo vya kiulayaulaya. Niliwahi kuwaambia Italy ndiyo Mecca ya fashion na kamwe hawatoi vitu vibovu. Baada ya kuwaonjesha jezi moja tu tena imevaliwa na mchezaji mmoja, nchi...
2 Reactions
7 Replies
760 Views
Jezi Kali halafu mseme ya mechi za pre season..hayo matusi aise...tunaomba jezi ya kucheza ligi kuu inayokuja basi inatakiwa iwe kali zaidi ya hizi tena mara Saba ama zaidi tofaut na hapo zikiwa...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni, Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke Sasa...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Real Madrid wamemkabidhi rasmi Kylian Mbappé jezi namba 10, iliyokuwa ikivaliwa na gwiji Luka Modrić, ambaye amejiunga na AC Milan baada ya kuhudumu Santiago Bernabéu kwa zaidi ya miaka 12. Hatua...
3 Reactions
6 Replies
892 Views
"Katika uongozi wangu hakuna shabiki aliyewahi kusema anahitaji katiba, kila shabiki alikuwa anahitaji furaha tu." "Vivyo hivyo mpaka sasa mashabiki wa Simba wanahitaji furaha bila kuhimiza...
12 Reactions
52 Replies
2K Views
Nikiwa Rais kutajengwa world-class training ground zitakuwa 30 na zitakuwa zinatumiwa na vilabu vya mpira wa Tanzania, na vilabu vikubwa kama real madrid, Barcelona, man City, arsenal et.al...
5 Reactions
77 Replies
3K Views
Nikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…